Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Mfano wa jengo la hovyo sana ni lile lililopo Sam Nujoma Road mali ya PSSSFMighorofa bongo nje muonekano unavutia ingia ndani sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano wa jengo la hovyo sana ni lile lililopo Sam Nujoma Road mali ya PSSSFMighorofa bongo nje muonekano unavutia ingia ndani sasa
Tatizo kibongobongo, wengi tunadhani jengo kuwa na gharofa nyingi ni maendeleo na ujuaji. China, Japan etc wao population yao ni kubwa na maeneo ya kuishi ni yamepungua ndiyo maana wanafanya hivyo. Sisi kwa ujinga wetu tunaiga. Hilo wanalosema linajengwa Zanzibar nalo ni ulimbukeni kwa kiarabu tu. Zenji wameiga kwa waarabu ambao hupenda kufanya vitu kwa sifa na ufahari kwa sababu tu wana fedha.Acha Japan ajitutumue alafu China aje afanye kufuru ya kujenga jengo ambalo mtu atakuwa anachukua wiki nzima kufika juu.
Unahisi wao hawajui hiki ulichoandika?Kwa japan ni hatari sana kufanya ujenzi wa aina hiyo... ni kisiwa cha baharini ambacho hukumbwa na madhira kama tetemeko.. unaweza ukabisha ila hata ujenzi wa titanic ulikatizwa na mambo yasitozuilika na mwanadamu...
Ushauri wangu wawe na kiasi
Sure.... maghorofa mengi yanatisha Kuna office ukienda unaweza kumbwa hata na majini😁😁Yani kuna mighorofa posta haina na imekosa hata wapangaji hadi kina adriz na Accumen Mo wanabadilisha kila chumba kwa kuswali.
Tunataka kuigaiga tu.Hapo tu Victoria maghorofa kibao yapo empty,,, mengine wamejaribu kupangisha watu waishi wananchi hawa afford gharama
Hata wawe wanajua undesirables circumstances can never be controlled by the actions of human beingsUnahisi wao hawajui hiki ulichoandika?
Hiyo ni project ya Dubai wanataka kujenga linajengwa bahariniHy ya Zanzibar ni uongo wa hali ya juu katika historia ya nchi
China tuu yenyewe Shanghai tower imepangishwa nusu tuu kwingine wamekosa wapangaji ndio iwe bongofigganigga umepuyanga. Lile mawasiliano tower limewashinda kulijaza bado mnataka majengo marefu ya nini?
Wajapan sio wenzako, wao hawakuoni wewe kama mwenzao hata kwa bahati mbaya. Hizi shobo za kuita watu "wenzenu" muache.
Wabongo tunaiga kila kitu hata vile ambavyo vinaweza kuwa na madhara kwetu sisi tunaiga tu.Tatizo kibongobongo, wengi tunadhani jengo kuwa na gharofa nyingi ni maendeleo na ujuaji. China, Japan etc wao population yao ni kubwa na maeneo ya kuishi ni yamepungua ndiyo maana wanafanya hivyo. Sisi kwa ujinga wetu tunaiga. Hilo wanalosema linajengwa Zanzibar nalo ni ulimbukeni kwa kiarabu tu. Zenji wameiga kwa waarabu ambao hupenda kufanya vitu kwa sifa na ufahari kwa sababu tu wana fedha.