Jengo la Tanesco Ubungo

Jengo la Tanesco Ubungo

Kodi za watanzania hazijawahi muumiza kabisaa!
 
Wadau
Hivi Magufuli huwa haoni aibu anapopita pale ubungo hasa akiangalia ile interchange ilivyo na lile jengo la Tanesco aliliolibomoa
Ngoja siku atakapopita uwanja wa ndege na kukuta midege iko parking na popo wanaishi ndani.
 
Ngoja siku atakapopita uwanja wa ndege na kukuta midege iko parking na popo wanaishi ndani.
Mbona tunaipanda sana midege sema tu ATC wana muhujumu kwa kupangua pangua ratiba za ndege au kushindwa kwenda na ratiba na hivyo kutudiscourage watumiaji wa ndege zao
 
Tumieni hii karata uchaguzi 2020

Acheni kupoteza Muda. CCM haiwezi toka madarakani kwa upinzani huu uchwara.

CCM Itaendelea kutawala mpaka rebirth ya wapinzani itokeee, of which it sio kitu cha leo wala kesho. Labda milele ........ who knows , perhaps... immortal God
 
Back
Top Bottom