Jengo letu pendwa Mwanza

Jengo letu pendwa Mwanza

amatolo

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2017
Posts
690
Reaction score
712
Raha sana, Mwanza tumebahatika kuwa na jengo zuri la kibiashara.
Zamani ulikuwa ukitoka mkoani ukifika jiji la samaki lazima ukapige picha pale kwenye samaki, kwa sasa tuna jengo jipya la kibiashara la Rock City Mall ukifika mwanza karibu sana ndani ya jengo letu pendwa. Jamani ndani ya jengo hili hata ukiwa chooni au kwenye lift ya mizigo iliyojaa vumbi lazima kwa mbali utasikia mziki laini ukikubembeleza.

Kilichonifurahisha zaidi ni baada ya Chuo flani kuwa sehemu ya wapangaji wa jengo hili, kwanza coarse zitolewazo na chuo hiki ni kozi pendwa na Maua ya Uaridi. 85% ya wanachuo wote ni Ua la Kondeni. Kiuhalisia haya maua na zile nyimbo nyororo ndani ya jengo letu pendwa vimenifanya kuwa mwadilifu kazini, wa kwanza kuingia na wa mwisho kutoka. Kinachonifurahisha, muda mwingi viumbe hivi pendwa hushinda vikizungukia jengo letu pendwa, kiufupi binafsi nafaid sana. Japokuwa kuna sababu ya kuwashukuru wahusika kwa yafuatayo:-
1. Vitasa karibia vyote vinafunga kwa nje tu, ukiwa ndani huwezi kulock mlango wako, maana mtu anaweza kuingia muda wowote ukiwa ndani sio kama ofisi zingine unaweza kujifungia ndani ukafanya yako.
2. Kuta za vioo transparent yani mtu akipita nje anaona kila kitu maongezi pekee ndo hawezi kusikia.
 
Rocky city mail kwasasa biashara haieleweki, supermarkets kadhaa zimefungwa, iliyobakia pekee ya uhakika ni Nono na wale jamaa wa furniture. jengo lipo tupu hakuna bidhaa za kuekeweka
 
Nikifika Mwanza safari ingine ntaenda kwenye daraja jipya nipige picha hapo, hilo jengo la biashara nilishafika mara kadhaa.
Karibu tena jengoni, usisahau kutembelea mazingira zile sehem mhimu
 
Rocky city mail kwasasa biashara haieleweki, supermarkets kadhaa zimefungwa, iliyobakia pekee ya uhakika ni Nono na wale jamaa wa furniture. jengo lipo tupu hakuna bidhaa za kuekeweka
Mkuu mbona cc tupo tu, hizi n changamoto za kawaida, wenye unafuu ni sisi wenye ofisi za kawaida lakini wenye maduka ya bidhaa hali sio nzur kiukwel
 
Mkuu mbona cc tupo tu, hizi n changamoto za kawaida, wenye unafuu ni sisi wenye ofisi za kawaida lakini wenye maduka ya bidhaa hali sio nzur kiukwel
tatizo hapo ni kodi ya jengo na kodi ya TRA au ni kitu gani?
 
Mkuu mbona cc tupo tu, hizi n changamoto za kawaida, wenye unafuu ni sisi wenye ofisi za kawaida lakini wenye maduka ya bidhaa hali sio nzur kiukwel
Ok kwa hiyo Hadi machinga wanaruhusiwa humo?
 
Unaweza ikazidi au kulingana na Mlimani city Mall?
 
Mkuu m sio msemaji wa jengo, usifanye nipandishiwe kodi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila mkuu alisema popote machinga anaweza fanya biashara yake hata ikulu ukiona unaweza kuuza kapange, nahisi hata humo machinga wanaruhusiwa
 
Back
Top Bottom