Kwani Bado Wanaigiza?Yeah ni kwa mara nyingine tena!!
Leo nataka wale wajuvi wa kufuatilia celebrities uchwara Jenifer na Patrick kanumba hivi hawa watoto Wanasoma kweli? Maana naona daily kutafutiana followers instagram!
Jambo la pili kama wanasoma ufaulu wao lazima utakuwa unatia shaka!
Jambo la mwisho inawezekana hawa watoto kuwa hawajagegedana hadi sasa?
Inafika mkuu hebu ibadili hyo £200,000 kuwa Tz shillings£200,000 ni 600/=M?????[emoji15] [emoji15] [emoji15]
We unafikiri ni kiasi gani....£200,000 ni 600/=M?????[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kweli mkuu cjui ndo kukurupuka...Inafika mkuu hebu ibadili hyo £200,000 kuwa Tz shillings
Ndo hivyohivyo...We unafikiri ni kiasi gani....
£200,000 ni 600/=M?????[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Inafika mkuu hebu ibadili hyo £200,000 kuwa Tz shillings
Ni hivyohivyonoo ni mil 530 na laki kadhaa bob
Rudia tena umeona rate ya leo hiyonoo ni mil 530 na laki kadhaa bob
Kazi ya jukwaa hili ni kuwasema au kuwasifia maceleb.... Otherwise omba jukwaa lifungwe....Ww inakuhusu nn??? Au na ww unatafuta u-celebrity uchwara??
Kuwasema na kuwasifia ndo kazi yenu???Kazi ya jukwaa hili ni kuwasema au kuwasifia maceleb.... Otherwise omba jukwaa lifungwe....