Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Uongozi ni kipawa na si elimu, Jenista ana kipawa cha ajabu haijawahi kutokea hivyo anatoshea kwenye nafasi hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What a comedy, waziri wa afya na education wapi na wapi...hii inchi ndio maana hatuendelei. Haiwezekani mtu mmoja awe competent kila wizara, yaani ni toka hapa nenda pale.Uongozi ni kipawa na si elimu, Jenista ana kipawa cha ajabu haijawahi kutokea hivyo anatoshea kwenye nafasi hiyo.
View attachment 3081808
In maana hata Wassira ambaye toka 1975 yupo tu apishe wengine?What a comedy, waziri wa afya na education wapi na wapi...hii inchi ndio maana hatuendelei. Haiwezekani mtu mmoja awe competent kila wizara, yaani ni toka hapa nenda pale.
Wakati wake umekwisha amechoka akili na mwiliIn maana hata Wassira ambaye toka 1975 yupo tu apishe wengine?
Kwa hapa tz katibu mkuu wa wizara husika ndo Huwa na qualificationsUongozi ni kipawa na si elimu, Jenista ana kipawa cha ajabu haijawahi kutokea hivyo anatoshea kwenye nafasi hiyo.
View attachment 3081808
Yule ni wa propagandaIn maana hata Wassira ambaye toka 1975 yupo tu apishe wengine?
Kwahiyo ni sawa , hongera sana ndugu hubble elimu uliyopata VETA imeondoa ujinga hapo kwenye moedula.Kwa hapa tz katibu mkuu wa wizara husika ndo Huwa na qualifications
Yes,Tunataka tufikie:Ke 60% na Me 40% kabla 2030. Ambaye hataki ahamie Burundi
Kwahiyo ni sawa , hongera sana ndugu hubble elimu uliyopata VETA imeondoa ujinga hapo kwenye moedula.
Sasa amewaletea kichina na kiarabu shule za kata huko Mpanda, yani sijui hawa ma professor wetu walishushwa ama ni special sana maana wana akili kupitiliza.Aibu naona mimi
WasemaMasters za mchongo...... kama zile za Mzumbe!
executive masters za MzumbeWasema
"Gugu" uione hiyo Cambridge International College. Pia angalia aina ya watu ambao wana hizo International Diploma. Huko ni mwendo wa pesa tu.Masters za mchongo...... kama zile za Mzumbe!