Jenista Mhagama ana heshima na unyenyekevu sana. Embu angalia hapa ujue kwanini anapendwa na kila Rais anayeingia Madarakani

Jenista Mhagama ana heshima na unyenyekevu sana. Embu angalia hapa ujue kwanini anapendwa na kila Rais anayeingia Madarakani

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiachana na uchapakazi , uzalendo na kubadilika kulingana na Mazingira kwa Mheshimiwa Jenista Mhagama.

Lakini ukweli unabakia kuwa heshima na unyenyekevu wake ni miongoni Mwa vitu vinavyomfanya kujenga ushawishi kwa kila Rais anayeingia Madarakani kumuweka katika majina ya awali kabisa ya Baraza la Mawaziri.

Unyenyekevu wake ndio unaofanya aweze kufanya kazi kila wizara anayopelekwa na kupewa ushirikiano mkubwa sana na watumishi anaowakuta.

Ndio sababu ni miongoni Mwa waheshimiwa waliopita wizara nyingi na kufanikiwa kufanya vizuri sana na kuacha alama kubwa sana .

Hana viburi wala dharau wala majibu ya hovyo ni mtu mwenye kauli nzuri na za hekima sana hata kwa wapinzani. Hajiinui wala kujikweza licha ya kuwa na uhakika wa namba na nafasi katika Baraza la Mawaziri.

Lakini ameendelea kuwa Jenista Mhagama yule yule mwenye unyenyekevu ule ule kwa watu wote.

Hata katika Biblia unyenyekevu ni vitu vinavyosisitizwa sana kwa mkiristo na unaweza kufunguliwa milango mingi sana ya Baraka .Mtu mnyenyekevu ni lazima pia utakuta ndani yake ana moyo wa huruma, upendo, utu, uungwana, hekima na busara.

Ndio maana Mama huyu anaendelea kudumu na kubakia katika Baraza la Mawaziri na kung'ara muda wote Nyota yake.

Siyo mara ya kwanza kusema jambo hili hata awali nimewahi kusema na kuandika humu jukwaani juu ya jambo hili la unyenyekevu na heshima aliyo nayo Mama huyu..

Wanasiasa wengine wanayo Mengi sana ya kujifunza kutoka kwa Mama huyu asiye na Makuu.

Kiongozi yeyote yule siku zote angependa kufanya kazi na wafanyakazi ama wasaidizi wanyenyekevu, wenye heshima na wachapakazi aina ya Mheshimiwa Jenista Mhagama. Kwa sababu watu na viongozi wa aina hiyo ni rahisi kubadilika kulingana na mazingira, kuhudumia watu vyema, wasikivu na wenye kuleta matokeo chanya.

Mwisho niseme wazi kuwa Mimi huwa sina wivu wala kuacha kumsifia na kumpongeza mtu anayefanya vizuri. lakini pia ukifanya vibaya nakukosoa tu ili ujirekebishe..

Screenshot_20240925-164416_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiachana na uchapakazi , uzalendo na kubadilika kulingana na Mazingira kwa Mheshimiwa Jenista Mhagama.Lakini ukweli unabakia kuwa heshima na unyenyekevu wake ni miongoni Mwa vitu vinavyofanya kujenga ushawishi kwa kila Rais anayeingia Madarakani kumuweka katika majina ya awali kabisa ya Baraza la Mawaziri.

Unyenyekevu wake ndio unaofanya aweze kufanya kazi kila wizara anayopelekwa na kupewa ushirikiano mkubwa sana na watumishi anaowakuta.Ndio sababu ni miongoni waheshimiwa waliopita wizara nyingi na kufanikiwa kufanya vizuri sana.

Hama viburi wala dharau wala majibu ya hovyo.ni mtu mwenye kauli nzuri na za hekima hata kwa wapinzani. Hajiinui wala kujikweza licha ya kuwa na uhakika wa namba na nafasi katika Baraza la Mawaziri.lakini ameendelea kuwa Jenista Mhagama yule yule mwenye unyenyekevu ule ule.

Hata katika Biblia unyenyekevu ni vitu vinavyosisitizwa sana kwa mkiristo. Mtu mnyenyekevu ni lazima pia utakuta ndani yake ana moyo wa huruma,upendo ,utu, uungwana,hekima na busara. Ndio maana Mama huyu anaendelea kudumu na kubakia katika Baraza la Mawaziri na kung'ara muda wote Nyota yake.

Siyo mara ya kwanza kusema jambo hili .hata awali nimewahi kusema na kuandika humu jukwaani juu ya jambo hili la unyenyekevu na heshima. Wanasiasa wengine wanayo Mengi sana kujifunza kutoka kwa Mama huyu asiye na Makuu.

Kiongozi yeyote yule siku zote angependa kufanya kazi na wafanyakazi ama wasaidizi wanyenyekevu,wenye heshima na wachapakazi aina ya Mheshimiwa Jenista Mhagama. Kwa sababu watu na viongozi wa aina hiyo ni rahisi kubadilika kulingana na mazingira,kuhudumia watu vyema,wasikivu na wenu kuleta matokeo chanya.

Mwisho niseme wazi kuwa Mimi huwa sina wivu wala kuacha kumsifia na kumpongeza mtu anayefanya vizuri .lakini pia ukifanya vibaya nakukosoa tu ili ujirekebisheView attachment 3106403

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu tafuta kazi ya kufanya.

Go find a real job please.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiachana na uchapakazi , uzalendo na kubadilika kulingana na Mazingira kwa Mheshimiwa Jenista Mhagama.Lakini ukweli unabakia kuwa heshima na unyenyekevu wake ni miongoni Mwa vitu vinavyofanya kujenga ushawishi kwa kila Rais anayeingia Madarakani kumuweka katika majina ya awali kabisa ya Baraza la Mawaziri.

Unyenyekevu wake ndio unaofanya aweze kufanya kazi kila wizara anayopelekwa na kupewa ushirikiano mkubwa sana na watumishi anaowakuta.Ndio sababu ni miongoni waheshimiwa waliopita wizara nyingi na kufanikiwa kufanya vizuri sana.

Hama viburi wala dharau wala majibu ya hovyo.ni mtu mwenye kauli nzuri na za hekima hata kwa wapinzani. Hajiinui wala kujikweza licha ya kuwa na uhakika wa namba na nafasi katika Baraza la Mawaziri.lakini ameendelea kuwa Jenista Mhagama yule yule mwenye unyenyekevu ule ule.

Hata katika Biblia unyenyekevu ni vitu vinavyosisitizwa sana kwa mkiristo. Mtu mnyenyekevu ni lazima pia utakuta ndani yake ana moyo wa huruma,upendo ,utu, uungwana,hekima na busara. Ndio maana Mama huyu anaendelea kudumu na kubakia katika Baraza la Mawaziri na kung'ara muda wote Nyota yake.

Siyo mara ya kwanza kusema jambo hili .hata awali nimewahi kusema na kuandika humu jukwaani juu ya jambo hili la unyenyekevu na heshima. Wanasiasa wengine wanayo Mengi sana kujifunza kutoka kwa Mama huyu asiye na Makuu.

Kiongozi yeyote yule siku zote angependa kufanya kazi na wafanyakazi ama wasaidizi wanyenyekevu,wenye heshima na wachapakazi aina ya Mheshimiwa Jenista Mhagama. Kwa sababu watu na viongozi wa aina hiyo ni rahisi kubadilika kulingana na mazingira,kuhudumia watu vyema,wasikivu na wenu kuleta matokeo chanya.

Mwisho niseme wazi kuwa Mimi huwa sina wivu wala kuacha kumsifia na kumpongeza mtu anayefanya vizuri .lakini pia ukifanya vibaya nakukosoa tu ili ujirekebisheView attachment 3106403

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Heshima, au analinda kibarua, ila CCM kweli inawenyewe,we jamaa mpaka Leo, bado hujaukwaa UDC! Inabidi wakupe hata kitengo cha propaganda!
 
Heshima, au analinda kibarua, ila CCM kweli inawenyewe,we jamaa mpaka Leo, bado hujaukwaa UDC! Inabidi wakupe hata kitengo cha propaganda!
Uchapakazi wake pamoja na unyenyekevu ndio unaomfanya aendelee kupendwa na Marais wote wanaoingia madarakani .hata mimi ningekuwa ni Rais ningemteua kuwa waziri wangu.
 
Hivi unyenyekevu anatakiwa aupeleke / auonyeshe wapi ? Kwa wananchi ambao ni de facto leaders (mabosi wake) au Rais ambaye na yeye pia ni mtumishi wa wananchi ?
Mheshimiwa Jenista Mhagama ni mnyenyekevu kwote tu.kuanzia jimboni hadi Serikalini
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiachana na uchapakazi , uzalendo na kubadilika kulingana na Mazingira kwa Mheshimiwa Jenista Mhagama.

Lakini ukweli unabakia kuwa heshima na unyenyekevu wake ni miongoni Mwa vitu vinavyofanya kujenga ushawishi kwa kila Rais anayeingia Madarakani kumuweka katika majina ya awali kabisa ya Baraza la Mawaziri.

Unyenyekevu wake ndio unaofanya aweze kufanya kazi kila wizara anayopelekwa na kupewa ushirikiano mkubwa sana na watumishi anaowakuta.

Ndio sababu ni miongoni waheshimiwa waliopita wizara nyingi na kufanikiwa kufanya vizuri sana.

Hama viburi wala dharau wala majibu ya hovyo ni mtu mwenye kauli nzuri na za hekima hata kwa wapinzani. Hajiinui wala kujikweza licha ya kuwa na uhakika wa namba na nafasi katika Baraza la Mawaziri.

Lakini ameendelea kuwa Jenista Mhagama yule yule mwenye unyenyekevu ule ule.

Hata katika Biblia unyenyekevu ni vitu vinavyosisitizwa sana kwa mkiristo. Mtu mnyenyekevu ni lazima pia utakuta ndani yake ana moyo wa huruma, upendo, utu, uungwana, hekima na busara.

Ndio maana Mama huyu anaendelea kudumu na kubakia katika Baraza la Mawaziri na kung'ara muda wote Nyota yake.

Siyo mara ya kwanza kusema jambo hili hata awali nimewahi kusema na kuandika humu jukwaani juu ya jambo hili la unyenyekevu na heshima.

Wanasiasa wengine wanayo Mengi sana kujifunza kutoka kwa Mama huyu asiye na Makuu.

Kiongozi yeyote yule siku zote angependa kufanya kazi na wafanyakazi ama wasaidizi wanyenyekevu, wenye heshima na wachapakazi aina ya Mheshimiwa Jenista Mhagama. Kwa sababu watu na viongozi wa aina hiyo ni rahisi kubadilika kulingana na mazingira, kuhudumia watu vyema, wasikivu na wenu kuleta matokeo chanya.

Mwisho niseme wazi kuwa Mimi huwa sina wivu wala kuacha kumsifia na kumpongeza mtu anayefanya vizuri lakini pia ukifanya vibaya nakukosoa tu ili ujirekebishe..

View attachment 3106403

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu uwe unaweka na namba ya simu, watakufikiria siku moja. Wenzako huwa wanaweka
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiachana na uchapakazi , uzalendo na kubadilika kulingana na Mazingira kwa Mheshimiwa Jenista Mhagama.

Lakini ukweli unabakia kuwa heshima na unyenyekevu wake ni miongoni Mwa vitu vinavyofanya kujenga ushawishi kwa kila Rais anayeingia Madarakani kumuweka katika majina ya awali kabisa ya Baraza la Mawaziri.

Unyenyekevu wake ndio unaofanya aweze kufanya kazi kila wizara anayopelekwa na kupewa ushirikiano mkubwa sana na watumishi anaowakuta.

Ndio sababu ni miongoni waheshimiwa waliopita wizara nyingi na kufanikiwa kufanya vizuri sana.

Hama viburi wala dharau wala majibu ya hovyo ni mtu mwenye kauli nzuri na za hekima hata kwa wapinzani. Hajiinui wala kujikweza licha ya kuwa na uhakika wa namba na nafasi katika Baraza la Mawaziri.

Lakini ameendelea kuwa Jenista Mhagama yule yule mwenye unyenyekevu ule ule.

Hata katika Biblia unyenyekevu ni vitu vinavyosisitizwa sana kwa mkiristo. Mtu mnyenyekevu ni lazima pia utakuta ndani yake ana moyo wa huruma, upendo, utu, uungwana, hekima na busara.

Ndio maana Mama huyu anaendelea kudumu na kubakia katika Baraza la Mawaziri na kung'ara muda wote Nyota yake.

Siyo mara ya kwanza kusema jambo hili hata awali nimewahi kusema na kuandika humu jukwaani juu ya jambo hili la unyenyekevu na heshima.

Wanasiasa wengine wanayo Mengi sana kujifunza kutoka kwa Mama huyu asiye na Makuu.

Kiongozi yeyote yule siku zote angependa kufanya kazi na wafanyakazi ama wasaidizi wanyenyekevu, wenye heshima na wachapakazi aina ya Mheshimiwa Jenista Mhagama. Kwa sababu watu na viongozi wa aina hiyo ni rahisi kubadilika kulingana na mazingira, kuhudumia watu vyema, wasikivu na wenu kuleta matokeo chanya.

Mwisho niseme wazi kuwa Mimi huwa sina wivu wala kuacha kumsifia na kumpongeza mtu anayefanya vizuri lakini pia ukifanya vibaya nakukosoa tu ili ujirekebishe..

View attachment 3106403

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kinachotakiwa ni kuwahudumia Watanzania kwa nafasi aliyopewa maana kupiga magoti na kugaragara chini haitakuwa na msaada kwa Watanzania.
 
Back
Top Bottom