frankkilulya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 590
- 1,494
agalegale kwenye mavi yakoUlitaka agalegale kwenye maji wakati pale hayapo!?
Ukiwa Mbunge mwakilishi wa wananchi kazi yako ni kuisimamia serikali na kuhakikisha haifanyi ndivyo sivyo..., sasa ukileta habari za kujishusha kama ndio umaridadi mimi naweza kuona kama ni kuwa Mbwa mlinzi asiye na meno ( incompetent in the given Job) na Unyenyekevu huo kwa kinachoendelea kwakweli hawa watunga sera na serikali inaonyesha kiburi cha hali ya juu...Mheshimiwa Jenista Mhagama ni mnyenyekevu kwote tu.kuanzia jimboni hadi Serikalini
Nimeacha nafasi uweke namba yako.au wewe hupendi kufikiriwa?Mkuu uwe unaweka na namba ya simu, watakufikiria siku moja. Wenzako huwa wanaweka
Huduma anaendelea kuitoa na kuleta matokeo chanya kila eneo na wizara anayopewa kuiongozaKinachotakiwa ni kuwahudumia Watanzania kwa nafasi aliyopewa maana kupiga magoti na kugaragara chini haitakuwa na msaada kwa Watanzania.
Kupiga goti na kugalagala chini ni ishara ya shukrani huku UngoniniKinachotakiwa ni kuwahudumia Watanzania kwa nafasi aliyopewa maana kupiga magoti na kugaragara chini haitakuwa na msaada kwa Watanzania.
Nimekukwaza mkuu?agalegale kwenye mavi yako
Mimi tayari nipo kwenye mfumo, ni mmoja wa wafikiriajiNimeacha nafasi uweke namba yako.au wewe hupendi kufikiriwa?
Basi endelea kuwahudumia watanzaniaMimi tayari nipo kwenye mfumo, ni mmoja wa wafikiriaji
Sawa, lakini wanaoweka namba za simuBasi endelea kuwahudumia watanzania
Acha waendelee kuweka na ndio maana nawaachia waweke hadi anuani za makazi yao yalipo.Sawa, lakini wanaoweka namba za simu
๐๐Mimi siyo chawa ndugu yangu mtanzania๐๐ila we jamaa.umevuka hatua ya uchawa.umekuw kunguni
Amekuwa akiwakilisha vyema sana jimbo lake na kupata miradi mingi sana ya maendeleo.Mtu ana garagara utasema yupo serious kupambania wananchi, kumbe anapigania ugali wake na familia yake.
Unapambanaa๐๐Mimi siyo chawa ndugu yangu mtanzania
Aibu sana kwa Taifa kama Taifa kuna shida sehemu hasa juuu kuna shida kwani VETTING HAKUNAMwalimu kuongoza wizara ya afya ni total failure.
Huna akili ww bichwa lako limekaaa kulamba makalio ya watawala tuUnafahamu kuwa Benki ya Dunia imewahi kuongozwa na mtu wa afya?