Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama waliweza kuvumilia kipindi kile hata madaraja hayakupandishwa,,, watashindwa kwa Sasa?,Huyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia
Nmekupata Jenistakichwa chako huenda kina tone la acid
mhagama pia aliharibu kabisa mafao ya wazee wetuHuyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia
Huyu bibi cv zake ni kuharibu tu ilimradi anakandamiza wengi na kuufurahisha ufalmeHuyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia
Nadhani samia ugomvi ndani ya chama unamtosha asiongeze na chuki ya watumishiWakiendelea na upuuzi wao itakula kwao.
Me nazijua sana movie za kishamba za ccm hapo Jenista katumwa kuua ndoto za watumishi!!Hapa ni kuhesabu maumivu tu...
Nothing gonna change!
Kwanini mnatengemea waziri awasemee, kile chama chenu kilikwenda wapi ?Kama waliweza kuvumilia kipindi kile hata madaraja hayakupandishwa,,, watashindwa kwa Sasa?,