Jenista Mhagama katumwa kuharibu mpango wa kuongeza mishahara?

Jenista Mhagama katumwa kuharibu mpango wa kuongeza mishahara?

Katika wamama wanoko serikalin bac huyu Ni no moja yaan Ni msagaji wa kunguni haswaaa.
Since day one sijawah mwelewa huyu maza ,yaan Ni mtu wa kujipendekeza tu mwanzo mwisho ,fuatilia bungeni akiongea yaan yeye yupo upande wa serikali tu hajawahi kuwa upande wa wananchi.

Huyu ndie mtibua mipango na ndio maana anapendwa Sana na wakubwa maana ndie mtetez wao huko bungeni.

Kupewa Utumishi Ni mkakati wa mama mwenye nyumba ashaona ahadi aliohid haitekelezek Sasa dawa Ni kumpa kazi chawa apambane na watumishi.
Nina waswas Rais hata siku ya Mei mosi anaweza asitokee yaan atajiundia safar na kuwatosa watumishi kiakil Sana alafu mhagama atakuja kwa niaba kuchafua Hali ya hewa.

Kama Kuna mtumishi anaamini huu mwaka Kuna nyongeza ya mshahara asahau kabisa .

Uzuri watumishi Ni wavumilivu Sana kama waliweza kipindi Cha magu miaka 5 watashindwa Nini kwa huyu mzenziberi?

Huyu mzenziberi atakuja kuwapoza watumish had 2024 kwa lengo la 2025 na bahat nzur watumish Ni wasahaulifu na kura watampa vzr Sana na kusimamia uchaguz wao ndio watakua front.

Sema Iman yangu inaniambia huyu Rais nadhan ndie atakua Rais no moja kuwahi chukiwa na wananchi maana Hana hata mwaka lakin mtaani hakuna anayemtaka .
Mimi napenda Sana kujichanganya vijiwen lakin kila mtu anamkataa kuwa hatuna rais hapa ,na Rais ajue ukweli na ambiwe kuwa mitaani hapendwi kabisa hasa Hawa wananchi wa kawaida na ndio wapiga kura.
Kungekua na fair election huyu mama angepigwa mapema Sana sema Ni vile wanategemea Dola kuendelea kushinda na kujitangaza.

Mhagama mwalimu wa diploma pekee tu na ndie wazir ambae hakos kila Baraza ,sijui inawapa Nini wakubwa.
Kwa huyu mama Mhagama watumishi fungeni mikanda tu hapa kitu kizito kimewaangukia watumishi .
Kwanza inasemekana Jenester ni mchawi,mi nilipata stori za familia yao si nzuri
 
Kuna mijamaa inaropoka humu kumbe kweli....utashangaa hili nalo kweli
Usimdharau usiyemjua
 
Huyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia
Na ikitokea mishahara imeongezwa, Jitahidi kuja kumwomba msamaha mama Jenister Mhagama.
 
Huyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia
Ha ha haaa mkuu unasema kama unamaanisha! Mama akitaka kupandisha mishahara waziri atakuwa na ubavu gani kuzuia isipande?
 
Katika wamama wanoko serikalin bac huyu Ni no moja yaan Ni msagaji wa kunguni haswaaa.
Since day one sijawah mwelewa huyu maza ,yaan Ni mtu wa kujipendekeza tu mwanzo mwisho ,fuatilia bungeni akiongea yaan yeye yupo upande wa serikali tu hajawahi kuwa upande wa wananchi.

Huyu ndie mtibua mipango na ndio maana anapendwa Sana na wakubwa maana ndie mtetez wao huko bungeni.

Kupewa Utumishi Ni mkakati wa mama mwenye nyumba ashaona ahadi aliohid haitekelezek Sasa dawa Ni kumpa kazi chawa apambane na watumishi.
Nina waswas Rais hata siku ya Mei mosi anaweza asitokee yaan atajiundia safar na kuwatosa watumishi kiakil Sana alafu mhagama atakuja kwa niaba kuchafua Hali ya hewa.

Kama Kuna mtumishi anaamini huu mwaka Kuna nyongeza ya mshahara asahau kabisa .

Uzuri watumishi Ni wavumilivu Sana kama waliweza kipindi Cha magu miaka 5 watashindwa Nini kwa huyu mzenziberi?

Huyu mzenziberi atakuja kuwapoza watumish had 2024 kwa lengo la 2025 na bahat nzur watumish Ni wasahaulifu na kura watampa vzr Sana na kusimamia uchaguz wao ndio watakua front.

Sema Iman yangu inaniambia huyu Rais nadhan ndie atakua Rais no moja kuwahi chukiwa na wananchi maana Hana hata mwaka lakin mtaani hakuna anayemtaka .
Mimi napenda Sana kujichanganya vijiwen lakin kila mtu anamkataa kuwa hatuna rais hapa ,na Rais ajue ukweli na ambiwe kuwa mitaani hapendwi kabisa hasa Hawa wananchi wa kawaida na ndio wapiga kura.
Kungekua na fair election huyu mama angepigwa mapema Sana sema Ni vile wanategemea Dola kuendelea kushinda na kujitangaza.

Mhagama mwalimu wa diploma pekee tu na ndie wazir ambae hakos kila Baraza ,sijui inawapa Nini wakubwa.
Kwa huyu mama Mhagama watumishi fungeni mikanda tu hapa kitu kizito kimewaangukia watumishi .
Kwahio sie watumishi tujiandae na msiba Mei mosi!😅
 
That Means It's Back To Where They Were. So Sad If It's Going To Be The Case.
 
Ole wake safari hii alete ya mwenda zake kwa watumishi,tuliumia mnoo.Mama Samia Nenda vema na watumishi kwa kuwapa faraja Huyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia
 
Back
Top Bottom