- Thread starter
- #21
Kile siyo chama ni takatakaKwanini mnatengemea waziri awasemee, kile chama chenu kilikwenda wapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kile siyo chama ni takatakaKwanini mnatengemea waziri awasemee, kile chama chenu kilikwenda wapi ?
sawa Pindi ChanaNmekupata Jenista
Kwanza inasemekana Jenester ni mchawi,mi nilipata stori za familia yao si nzuriKatika wamama wanoko serikalin bac huyu Ni no moja yaan Ni msagaji wa kunguni haswaaa.
Since day one sijawah mwelewa huyu maza ,yaan Ni mtu wa kujipendekeza tu mwanzo mwisho ,fuatilia bungeni akiongea yaan yeye yupo upande wa serikali tu hajawahi kuwa upande wa wananchi.
Huyu ndie mtibua mipango na ndio maana anapendwa Sana na wakubwa maana ndie mtetez wao huko bungeni.
Kupewa Utumishi Ni mkakati wa mama mwenye nyumba ashaona ahadi aliohid haitekelezek Sasa dawa Ni kumpa kazi chawa apambane na watumishi.
Nina waswas Rais hata siku ya Mei mosi anaweza asitokee yaan atajiundia safar na kuwatosa watumishi kiakil Sana alafu mhagama atakuja kwa niaba kuchafua Hali ya hewa.
Kama Kuna mtumishi anaamini huu mwaka Kuna nyongeza ya mshahara asahau kabisa .
Uzuri watumishi Ni wavumilivu Sana kama waliweza kipindi Cha magu miaka 5 watashindwa Nini kwa huyu mzenziberi?
Huyu mzenziberi atakuja kuwapoza watumish had 2024 kwa lengo la 2025 na bahat nzur watumish Ni wasahaulifu na kura watampa vzr Sana na kusimamia uchaguz wao ndio watakua front.
Sema Iman yangu inaniambia huyu Rais nadhan ndie atakua Rais no moja kuwahi chukiwa na wananchi maana Hana hata mwaka lakin mtaani hakuna anayemtaka .
Mimi napenda Sana kujichanganya vijiwen lakin kila mtu anamkataa kuwa hatuna rais hapa ,na Rais ajue ukweli na ambiwe kuwa mitaani hapendwi kabisa hasa Hawa wananchi wa kawaida na ndio wapiga kura.
Kungekua na fair election huyu mama angepigwa mapema Sana sema Ni vile wanategemea Dola kuendelea kushinda na kujitangaza.
Mhagama mwalimu wa diploma pekee tu na ndie wazir ambae hakos kila Baraza ,sijui inawapa Nini wakubwa.
Kwa huyu mama Mhagama watumishi fungeni mikanda tu hapa kitu kizito kimewaangukia watumishi .
We ngoja uone!!!Nimemiss Uhakiki aulete basi bibie Jenista
Yule ndo punda wa watawala ngoja uoneNimemiss Uhakiki aulete basi bibie Jenista
Na ikitokea mishahara imeongezwa, Jitahidi kuja kumwomba msamaha mama Jenister Mhagama.Huyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia
Me nimekwambia na najua kila kinachopangwa watumishi JiandaeniNa ikitokea mishahara imeongezwa, Jitahidi kuja kumwomba msamaha mama Jenister Mhagama.
Ha ha haaa mkuu unasema kama unamaanisha! Mama akitaka kupandisha mishahara waziri atakuwa na ubavu gani kuzuia isipande?Huyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia
Kwahio sie watumishi tujiandae na msiba Mei mosi!😅Katika wamama wanoko serikalin bac huyu Ni no moja yaan Ni msagaji wa kunguni haswaaa.
Since day one sijawah mwelewa huyu maza ,yaan Ni mtu wa kujipendekeza tu mwanzo mwisho ,fuatilia bungeni akiongea yaan yeye yupo upande wa serikali tu hajawahi kuwa upande wa wananchi.
Huyu ndie mtibua mipango na ndio maana anapendwa Sana na wakubwa maana ndie mtetez wao huko bungeni.
Kupewa Utumishi Ni mkakati wa mama mwenye nyumba ashaona ahadi aliohid haitekelezek Sasa dawa Ni kumpa kazi chawa apambane na watumishi.
Nina waswas Rais hata siku ya Mei mosi anaweza asitokee yaan atajiundia safar na kuwatosa watumishi kiakil Sana alafu mhagama atakuja kwa niaba kuchafua Hali ya hewa.
Kama Kuna mtumishi anaamini huu mwaka Kuna nyongeza ya mshahara asahau kabisa .
Uzuri watumishi Ni wavumilivu Sana kama waliweza kipindi Cha magu miaka 5 watashindwa Nini kwa huyu mzenziberi?
Huyu mzenziberi atakuja kuwapoza watumish had 2024 kwa lengo la 2025 na bahat nzur watumish Ni wasahaulifu na kura watampa vzr Sana na kusimamia uchaguz wao ndio watakua front.
Sema Iman yangu inaniambia huyu Rais nadhan ndie atakua Rais no moja kuwahi chukiwa na wananchi maana Hana hata mwaka lakin mtaani hakuna anayemtaka .
Mimi napenda Sana kujichanganya vijiwen lakin kila mtu anamkataa kuwa hatuna rais hapa ,na Rais ajue ukweli na ambiwe kuwa mitaani hapendwi kabisa hasa Hawa wananchi wa kawaida na ndio wapiga kura.
Kungekua na fair election huyu mama angepigwa mapema Sana sema Ni vile wanategemea Dola kuendelea kushinda na kujitangaza.
Mhagama mwalimu wa diploma pekee tu na ndie wazir ambae hakos kila Baraza ,sijui inawapa Nini wakubwa.
Kwa huyu mama Mhagama watumishi fungeni mikanda tu hapa kitu kizito kimewaangukia watumishi .
Sijui ni kwa nini kila uteuzi yumooo wakati kiutendaji ni wa kawaida sanaaa...Mama mnafiki huyo..sijawahi mwelewa kabisa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Watumishi wanalia lia mishahara haipandi ila kazi hawataki kuacha😅 inashangaza mnoMe nimekwambia na najua kila kinachopangwa watumishi Jiandaeni
Duuh kumbe!!!Kwanza inasemekana Jenester ni mchawi,mi nilipata stori za familia yao si nzuri
Hela ipi ya kuongeza mishahara??Na ikitokea mishahara imeongezwa, Jitahidi kuja kumwomba msamaha mama Jenister Mhagama.
Ole wake safari hii alete ya mwenda zake kwa watumishi,tuliumia mnoo.Mama Samia Nenda vema na watumishi kwa kuwapa faraja Huyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia