Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Hii laana itamtafuna, mwache tu, #MunguniWetuSote#mhagama pia aliharibu kabisa mafao ya wazee wetu
Hayo ni mawazo yako,mpango wa mshahara uko palepaleHuyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia
Alikuwaga anamnyanyasa hadi mumewe huyu, siku ya sendoff ya binti yake aliongeaga maneno ya ajabu sana, utadhani anamiliki duniaKwanza inasemekana Jenester ni mchawi,mi nilipata stori za familia yao si nzuri
Hela za tozo za miamalaHela ipi ya kuongeza mishahara??
Nakichukia hicho kimamaHuyo ndo bingwa wa kutetea serikali ikitaka kukandamiza haki za watu!! Sasa kapelekwa Utumishi kuandaa njia ya Rais siku ya May 1 kutamka rasmi kwamba watumishi mumsamehe hali ya uchumi ni mbaya hivyo muendelee kuvumilia