muvangulumemile
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 686
- 966
Unawaonea huruma wazee wa PGO?Serikali janja janja! Uswahili mwingi. Walipe hela za wastaafu. Dhuluma haikubaliki hata kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawaonea huruma wazee wa PGO?Serikali janja janja! Uswahili mwingi. Walipe hela za wastaafu. Dhuluma haikubaliki hata kidogo.
Mimi natamani mfe kabla hamjapataMhe Jenister Mhagama, Mhe Simba Chawene Waziri wa mambo ya ndani, IGP Simon Sirro tusaidieni tulipwe mafao yetu na PSSSF, Tumestaafu Mwaka jana mwezi wa 12 Hadi sasa Hatuja pata mafao yetu wala Pesheni hatulipwi. Jana tarehe 1/11/2021 saa 1 usiku tumeenda kukagua akaunti zetu ATM tukiwa wastaafu 4 hamna kitu.
Msemaji wa Serikali anacho kizungumzia kuhusu malipo yetu si kweli, Mara aseme tumekosea taarifa tunahitaji kurekebisha, mara anasema huenda tumetapeliwa sasa tunashindwa kuzieleza familia zetu ukweli. Hii haiwezi kuwa kauli za Msemaji wa Serikali kwa niaba ya Serikali vema akafuta kauli kama hizi, hata tukitapeliwa yeye Msemaji inamhusu nini. Kama Serikali ikiwa haijapata pesa za kutulipa Wastaafu aseme tu ukweli.
Tumeenda mara kadhaa ofisi za Mkoa za PSSSF hawana majibu, wanasema tu zilipokelewa mwezi wa 1 ziko mikononi mwao pale makao Makuu ya PSSSF basi hakuna jibu lingine.
Mhe Jenister Mhagama, Mhe Simba Chawene, IGP Simon Sirro tusaidieni tulipwe mafao yetu PSSSF tusaidieni, mpo ofisini maisha yenu ni mazuri, Nauli zetu pia ambazo zipo kisheria toka tumejaza miezi 2 kabla ya kustaafu hatuja lipwa na madeni mengine ya kwenda wkenye vyeo kama nauli hazijalipwa.
Ombi hili liwafikie popote mlipo au anayesoma awafikishie.
Wewe unaweza ukafa kabla hujaona kias cha pesa unacho kitegemea katika maishaMimi natamani mfe kabla hamjapata
Hata wapelekewe makato, kutoa hawataki kufuata utaratibuMkuu kwani wewe ulikuwa unafuatilia makato yako yalikuwa yanapelekwa kwenye mfuko?
Au hawana helaNdio uchumi wa Kati unaokuwa kwa 7%.
Naona mwezi huu hawalipwi kabisa sababu hata sisi ambao tumestaafu na kustaafu kwenyewe tumestaafu ( just waiting to kick the damn bucket and exit) hatujalipwa hela ya hazina. Pole sana.
Ukifa sindio wanapendaWewe unaweza ukafa kabla hujaona kias cha pesa unacho kitegemea katika maisha
Kwanini mkuuMimi natamani mfe kabla hamjapata