Jenister Mhagama, Simbachawene, IGP Simon Sirro tusaidieni tulipwe mafao na PSSSF

Mimi natamani mfe kabla hamjapata
 
Mkuu kwani wewe ulikuwa unafuatilia makato yako yalikuwa yanapelekwa kwenye mfuko?
Hata wapelekewe makato, kutoa hawataki kufuata utaratibu
Au wanataka mpaka watu waandamane na mabango.
Labda mkurugenzi na mhasibu hawataki kufanya kazi bila bughudha
 
Ndio uchumi wa Kati unaokuwa kwa 7%.
Naona mwezi huu hawalipwi kabisa sababu hata sisi ambao tumestaafu na kustaafu kwenyewe tumestaafu ( just waiting to kick the damn bucket and exit) hatujalipwa hela ya hazina. Pole sana.
Au hawana hela
 
Watu na bahati zao. Enzi zile za mjomba hapo PSSSF kingeumana
 
Sasa huyo Mhagama anatoa wapi hiyo sauti ya mamlaka?
Anaposimamia huyo lazima pawe donda ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…