Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ukishaliwa ban, ndio avatar inabadilika inakua banned?Haaa haaaa 😂 naona umepewa ban
Sure na watoto wamechukua hiyo mentality...Zamani kama miaka 10 iliyopita, nilimsikia Bill Gate anahojiwa na BBC, alisema pesa ni ya kwake na siyo ya watoto wake. Yuko tayari kuwasaidia watoto kufikia malengo yao ya maisha lakini wasikae wakafikiri kuna maisha bila kufanya kazi.
Ndio. Kama ilivyokuwa inaonekana kwa jamaa hapoHivi ukishaliwa ban, ndio avatar inabadilika inakua banned?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na hakundondosha DNA zake hovyo hovyo. Kwa utajiri alionao angekua kaka zetu wa Afrika angekua na michepuko kila wilaya.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kumbe umeshaoa, nilifikiri utampiku Don Kisandu imipate mtoto wa Bill Gates.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyu akupende mwenyewe na chance kubwa kama mngekua nae field pamoja.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hao watoto hawaijui SONGESHA kabisa
[emoji3][emoji3][emoji3]Rayvani hajamuona huyu?
So it means hata akitaka aibadilishe irudi ile ya mwanzo haiwezekani?Ndio. Kama ilivyokuwa inaonekana kwa jamaa hapo
Hawezi fanya chochote labda afungue id mpya au aperuzi humu kama mgeniSo it means hata akitaka aibadilishe irudi ile ya mwanzo haiwezekani?
Sisi huku tunazaa huku mtu anawaza akizeeka mtoto aje amtunze tena anashika na calculator kabisa nakujisemea moyoni "ukioa na miaka 27 ukifikisha miaka 60 mtoto ana miaka 33" tunasahau kila kitu ni mipango na unaweza kuoa mapema na hata usivuke 40 tayari UVIKO 19 inakuondoaBill Gates alichelewa sana kuoa
Utampata ndotoniNampataje huyu
Kuoa/kuolewa sio priority ya kila MTU Mkuu. Sema kwa afrika labda ni first priority kwa kila kijana kuliko kuwaza kuleta kirusi na kuleta chanjo yake.Bill Gates alichelewa sana kuoa
Ya kuliwa kimasikharaPaula wao