Jennifer Gates (24) is the eldest daughter of the billionaire philanthropists Bill and Melinda Gates

Kuoa mapema au sio mapema, nazani sio tatizo. Tatizo ni kupambana na kuwa na upeo wa hayo mapambano ya kujikwamua. Wenzetu wakiwa wanapambana wanakuwa serious wanafikia malengo yao, ni tofauti na sisi.

Sisi ukifanikiwa kidogo, unajiona Dunia ni yako pekee unaanza kuonja na kustarehe kwa kila jambo mwishowe unaanguka. Hilo ndio janga kubwa kwetu sisi.

Endapo tungekuwa na mitazamo kama ya wenzetu au hata kukaribiana tungekuwa katika raiti traki!
 

Upo sahihi mkuu
 
Nahisi hii comment ya songesha ndio Bora tangu huu mwaka uanza. Kwangu Mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi Songesha wanasamehe watu madeni
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serious brother nakwambia tembea sana sehemu Za utalii unaweza kujikuta unan’goa pisi kali bila kutarajia,kama huyo mtoto wa bill gate akija bongo bila ya taarifa ukikutana nae unaweza usimjue kama ni mtoto wa bill gate zenj tunapiga sana hizo
kweli mwanangu kuna mwana namjua alikua anapiga kazi Seacliff hotel ya mangapwani ailipata pisi ya kigerman now anakula bata Bavaria Munich huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…