Jennifer Lopez and Marc Anthony


mkuu no one rule of atraction
is we dont choose who we atracted to....
it just happens
 
We mwache tu, P didy akichelewa tu, nafanya vitu vyangu, ila usimwambie wifi yako...! Ah ah ah ah.

Hahahahahah lol! Mkuu...utayaweza lakini mambo ya mamarazzi na paparazzi πŸ™‚ na swaggers 24/7....kila la heri mkuu
 
Hapo hakuna kuunguza nauli wala nini, atanifata mwenyewe uswazi....! Ah ah ah ah.



Mpaka hapo ushafeli mtihani .... na humpati....lol... akija uswahilini lazima utume jet...
 
Hapo hakuna kuunguza nauli wala nini, atanifata mwenyewe uswazi....! Ah ah ah ah.

Una majidai weye hahahahah lol!...utanyunyizia nini? πŸ™‚
 
huwezi jua labda x paster ana teknolojia ya ungo,haitaji jet lol


Boss alichofeli hapo ni ile ya kusema atafatwa.... Jlo is woman if any! Na mwanamke

anaetambua kua ni mwanamke... atasubiri afuatwe kama 1st step then zinazofuata atakufuata....lol
 
Boss alichofeli hapo ni ile ya kusema atafatwa.... Jlo is woman if any! Na mwanamke

anaetambua kua ni mwanamke... atasubiri afuatwe kama 1st step then zinazofuata atakufuata....lol

huu ni ujumbe kwa mtu mwingine nahisi lol
 
Mpaka hapo ushafeli mtihani .... na humpati....lol... akija uswahilini lazima utume jet...
Nakwambia hivi, we subiri tu.

huwezi jua labda x paster ana teknolojia ya ungo,haitaji jet lol
Ungo wa nini bana, kwani nataka kupepeta mchele...! Ni hapo mtakapo muona uswazi ndio mtajua kuwa ooh! Kumbe kweeeeli.
Una majidai weye hahahahah lol!...utanyunyizia nini? πŸ™‚
Ah ah ah ah, mkuu sio majidai mkuu, ndio ukweli wenyewe, japokuwa wengi hawapendi kuusikia...! ah ah ah ah

Boss alichofeli hapo ni ile ya kusema atafatwa.... Jlo is woman if any! Na mwanamke

anaetambua kua ni mwanamke... atasubiri afuatwe kama 1st step then zinazofuata atakufuata....lol
Siku hizi ni mapinduzi, si wanadai usawa bana, sasa hii imekula kwake tu, lazima achape rapa kuja uswazi.
 



IMO Usawa Yes... But sio katika this issue, katika mapenzi pawe na me na ke....
 
Boss alichofeli hapo ni ile ya kusema atafatwa.... Jlo is woman if any! Na mwanamke

anaetambua kua ni mwanamke... atasubiri afuatwe kama 1st step then zinazofuata atakufuata....lol

Kuonyeshwa kwamba unapendwa, unazimikiwa au siyo Asha? badala ya kujipitishapitisha πŸ™‚
 
Kuonyeshwa kwamba unapendwa, unazimikiwa au siyo Asha? badala ya kujipitishapitisha πŸ™‚


Yeah... kwani wanaume mnachelewa kugeuka?? oooh si ulinifuata mwenyewe.... Kutongozwa kuna raha yake i bliv...lol
 
Reactions: BAK
Marc Anthony ameona hawezi kuendelea ku-spend $3M kwa mwaka kwa ajili ya kuli-maintain kalio la JlLO!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…