njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Naam yeye mwenyewe Kisubi alipokuwa simba alinyoroshwa vizuri sana na watu wa moro hadi akaomba poo, sasa huyu jamaa toka nchini Mali anajifanya mjanja siyo? Anayoroshwa huko na watu haohao wa Morogoro.
Yes habari ndiyo hiyo bwasheee, Kisubi kaandika kwa uchungu sana, au Kisubi haamini kama Diarra anafungika?
Au kalogwa kweli? kwani kale kajamaa mbona kadogo hivyo, nacho kanaloga? kanautaka u kipa namba moja?😀😂😁
Yes habari ndiyo hiyo bwasheee, Kisubi kaandika kwa uchungu sana, au Kisubi haamini kama Diarra anafungika?
Au kalogwa kweli? kwani kale kajamaa mbona kadogo hivyo, nacho kanaloga? kanautaka u kipa namba moja?😀😂😁