njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
wako waliosoma kama George mpole kamaliza darasa la saba 2005 na mwaka 2010 akamaliza degree ya biashara SUA, ni genius alirushwa madarasaHivi hawa wachezaji wetu hawakupita darasani!! Wanaandika makosa kama elimu hawana
Ha haaaaaaa hahahaha haaaaaaa.wako waliosoma kama George mpole kamaliza darasa la saba 2005 na mwaka 2010 akamaliza degree ya biashara SUA, ni genius alirushwa madarasa
Hata hapa JF ni kama wao tu. Utakuta mtu anaandika apa badala ya hapa; wengine ajila badala ya ajira etc. Naona elimu ya siku hizi Mh!! H na L ni janga la JFHivi hawa wachezaji wetu hawakupita darasani!! Wanaandika makosa kama elimu hawana
Siku hizi hata degree holers wanaandika hivyo.Hivi hawa wachezaji wetu hawakupita darasani!! Wanaandika makosa kama elimu hawana
Waongo tu, mpira kuna siku unagoma tu. Huonagi boko za De Gea.Ina maana Msheri kampiga Alhaj misumari?
we unadhani ki aziz kugoma kulala avic town yeye mjinga? lakini bado wadau watakuwa wamepata angalau ka jasho kake kakatumwa kwa babu huko visiwani maaana hiiiiiii uuuwiiiiiiIna maana Msheri kampiga Alhaj misumari?
between the lines ndicho anachomaanisha mr kisubiIna maana Msheri kampiga Alhaj misumari?
Alhaj naye akienda kujicock kwao si watamalizana?between the lines ndicho anachomaanisha mr kisubi
we unadhani ki aziz kugoma kulala avic town yeye mjinga? lakini bado wadau watakuwa wamepata angalau ka jasho kake kakatumwa kwa babu huko visiwani maaana hiiiiiii uuuwiiiiii
Uimara wa kipa unategemea ubora wa beki Liverpool alipigwa 6 golini akiwepo Allison Becka Bayern Munich kachakazwa 4 Nuier akiwepo huyo Kisubi ana mawazo potofuwe unadhani ki aziz kugoma kulala avic town yeye mjinga? lakini bado wadau watakuwa wamepata angalau ka jasho kake kakatumwa kwa babu huko visiwani maaana hiiiiiii uuuwiiiiii
Hazard karogwa na nani? waswahili mna viwanda vya uongo na majungu ulitaka aumie nani ili iwe sio uchawi, msimu uliopita John Bocco kakaa nje alilogwa?Nafikiri huyu ndugu yake alimtonya kwani hata hii injury yake ina mkono wa mtu
Aiseeewako waliosoma kama George mpole kamaliza darasa la saba 2005 na mwaka 2010 akamaliza degree ya biashara SUA, ni genius alirushwa madarasa
Povu hiloHazard karogwa na nani? waswahili mna viwanda vya uongo na majungu ulitaka aumie nani ili iwe sio uchawi, msimu uliopita John Bocco kakaa nje alilogwa?
Mpira hata haujui, jana beki zetu zilijisahau kufanya Marking, ndio maana magoli yote ni ya set piece. Mimi na washangaa ndugu zangu makolo wanao sema Azam walicheza mpira, mimi sijaona mpira walio cheza bali ni wa kawaida.Naam yeye mwenyewe Kisubi alipokuwa simba alinyoroshwa vizuri sana na watu wa moro hadi akaomba poo, sasa huyu jamaa toka nchini Mali anajifanya mjanja siyo? Anayoroshwa huko na watu haohao wa Morogoro.
Yes habari ndiyo hiyo bwasheee, Kisubi kaandika kwa uchungu sana, au Kisubi haamini kama Diarra anafungika?
Au kalogwa kweli? kwani kale kajamaa mbona kadogo hivyo, nacho kanaloga? kanautaka u kipa namba moja?πππ
View attachment 2348454