Jeremiah Masanja: Mbowe "Atalazimishwa kuondoka CHADEMA". Lissu namfahamu tumesoma naye, Mbowe namfahamu tumecheza naye muzik Billcanas Club enzi hizo

Jeremiah Masanja: Mbowe "Atalazimishwa kuondoka CHADEMA". Lissu namfahamu tumesoma naye, Mbowe namfahamu tumecheza naye muzik Billcanas Club enzi hizo

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267

View: https://youtu.be/WhlUbdvI5CA?si=6EYlRBSl4ZN0QnT5

Akihojiwa na SAUT DIGITAL, Mwanasiasa na mwanachama mwaminifu wa CHADEMA, jirani yake Tundu Lissu huko wanakoishi kwa takribani miaka 21 Mzee Jeremiah Masanja ametoa maoni na mtazamo wake juu ya hali ya CHADEMA sasa na wagombea uenyekiti wawili wenye nguvu, Freeman Mbowe na Tundu Lissu...

Anasema wote wawili anawafahamu vizuri sana...

Tundu Lissu amesoma naye darasa moja na Freeman Mbowe amecheza naye muziki ktk klabu mbalimbali ikiwemo ile iliyokuwa maarufu sana enzi hizo, Billcanas...

Amesema haielezeki kirahisi kwa kiongozi wa chama kukaa uongozini miaka 21 lakini akawa hajaandaa succession plan ya uongozi wa chama na taasisi/idara zake ili kujenga sustainability ya chama ktk kutekeleza shughuli na malengo yake hata pale atakapokuwa hayupo...

Huo ni udhaifu mmoja mkubwa wa Freeman Mbowe na udhaifu unathibitishwa na namna anavyowafungia njia wenzake kupata fursa ya kutumia vipawa vyao kukijenga chama. Na sasa, kuna kila sababu kusema kuwa amechokwa na wanataka kumfurusha/kumwondoa kwa nguvu...

Hii kwa lugha yoyote si heshima wala busara kwake kwa kushindwa kusoma majira na alama za nyakati ili kumwezesha kufanya maamuzi sahihi....

Aidha, anasema pia kuwa miaka 10 na pengine chini ya hiyo ilimtosha Freeman Mbowe kukitengeneza chama na kuwaachia wengine. Ingeweza kuwa John Heche, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, Tundu Lissu, John Mnyika na wengine wengi tu. Hakufanya hivyo na badala imeleta mtafaruku unaoweza kukidhoofisha chama kwa kiwango kikubwa..

Amemaliza kwa kusema,FREEMAN MBOWE ATALAZIMISHWA KUTOKA CHADEMA whether he like it or not....!

Msikilize ☝🏻☝🏻☝🏻
 

View: https://youtu.be/WhlUbdvI5CA?si=6EYlRBSl4ZN0QnT5

Akihojiwa na SAUT DIGITAL, Mwanasiasa na mwanachama mwaminifu wa CHADEMA, jirani yake Tundu Lissu huko wanakoishi kwa takribani miaka 21 Mzee Jeremiah Masanja ametoa maoni na mtazamo wake juu ya hali ya CHADEMA sasa na wagombea uenyekiti wawili wenye nguvu, Freeman Mbowe na Tundu Lissu...

Anasema wote wawili anawafahamu vizuri sana...

Tundu Lissu amesoma naye darasa moja na Freeman Mbowe amecheza naye muziki ktk klabu mbalimbali ikiwemo ile iliyokuwa maarufu sana enzi hizo, Billcanas...

Amesema haielezeki kirahisi kwa kiongozi wa chama kukaa uongozini miaka 21 lakini akawa hajaandaa succession plan ya uongozi wa chama na taasisi/idara zake ili kujenga sustainability ya chama ktk kutekeleza shughuli na malengo yake hata pale atakapokuwa hayupo...

Huo ni udhaifu mmoja mkubwa wa Freeman Mbowe na udhaifu unathibitishwa na namna anavyowafungia njia wenzake kupata fursa ya kutumia vipawa vyao kukijenga chama. Na sasa, kuna kila sababu kusema kuwa amechokwa na wanataka kumfurusha/kumwondoa kwa nguvu...

Hii kwa lugha yoyote si heshima wala busara kwake kwa kushindwa kusoma majira na alama za nyakati ili kumwezesha kufanya maamuzi sahihi....

Aidha, anasema pia kuwa miaka 10 na pengine chini ya hiyo ilimtosha Freeman Mbowe kukitengeneza chama na kuwaachia wengine. Ingeweza kuwa John Heche, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, Tundu Lissu, John Mnyika na wengine wengi tu. Hakufanya hivyo na badala imeleta mtafaruku unaoweza kukidhoofisha chama kwa kiwango kikubwa..

Amemaliza kwa kusema,FREEMAN MBOWE ATALAZIMISHWA KUTOKA CHADEMA whether he like it or not....!

Msikilize ☝🏻☝🏻☝🏻

Mbowe ameamua kuuza heshima na kununua fedheha
 

View: https://youtu.be/WhlUbdvI5CA?si=6EYlRBSl4ZN0QnT5

Akihojiwa na SAUT DIGITAL, Mwanasiasa na mwanachama mwaminifu wa CHADEMA, jirani yake Tundu Lissu huko wanakoishi kwa takribani miaka 21 Mzee Jeremiah Masanja ametoa maoni na mtazamo wake juu ya hali ya CHADEMA sasa na wagombea uenyekiti wawili wenye nguvu, Freeman Mbowe na Tundu Lissu...

Anasema wote wawili anawafahamu vizuri sana...

Tundu Lissu amesoma naye darasa moja na Freeman Mbowe amecheza naye muziki ktk klabu mbalimbali ikiwemo ile iliyokuwa maarufu sana enzi hizo, Billcanas...

Amesema haielezeki kirahisi kwa kiongozi wa chama kukaa uongozini miaka 21 lakini akawa hajaandaa succession plan ya uongozi wa chama na taasisi/idara zake ili kujenga sustainability ya chama ktk kutekeleza shughuli na malengo yake hata pale atakapokuwa hayupo...

Huo ni udhaifu mmoja mkubwa wa Freeman Mbowe na udhaifu unathibitishwa na namna anavyowafungia njia wenzake kupata fursa ya kutumia vipawa vyao kukijenga chama. Na sasa, kuna kila sababu kusema kuwa amechokwa na wanataka kumfurusha/kumwondoa kwa nguvu...

Hii kwa lugha yoyote si heshima wala busara kwake kwa kushindwa kusoma majira na alama za nyakati ili kumwezesha kufanya maamuzi sahihi....

Aidha, anasema pia kuwa miaka 10 na pengine chini ya hiyo ilimtosha Freeman Mbowe kukitengeneza chama na kuwaachia wengine. Ingeweza kuwa John Heche, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, Tundu Lissu, John Mnyika na wengine wengi tu. Hakufanya hivyo na badala imeleta mtafaruku unaoweza kukidhoofisha chama kwa kiwango kikubwa..

Amemaliza kwa kusema,FREEMAN MBOWE ATALAZIMISHWA KUTOKA CHADEMA whether he like it or not....!

Msikilize ☝🏻☝🏻☝🏻

MBOWE machozi 😭 jasho na damu 😡 anatokaje?
 
Waendelee kuombana chumvi hapo Tegeta.

Lissu hatoboi CDM na pengine akishupaza shingo safari yake ya siasa inaishia hapo
 
Kumekucha

Ila Mbowe hajacheza muziki Billicanas labda enzi za Mbowe Hotels 😂😂😂😂

Billicanas alishakuwa na hadhi ya kijamii
Sio kweli,Na hadhi yake ya kijamii Mbowe alikuwa anaingia Billz.
Alikuwa anapenda kukaa kaunta ya juu,na kinywaji chake pendwa Konyagi.
Sometimes anakuja na Mkewe,zikikolea wanapigana mate laivu!
Sijahadithiwa nimemuona Kwa macho yangu!
 
Waendelee kuombana chumvi hapo Tegeta.

Lissu hatoboi CDM na pengine akishupaza shingo safari yake ya siasa inaishia hapo
Uko sawa kweli..? Aliondoka zitto je aliisha kisiasa...? Round hii kife au apite lissu.
 
Sio kweli,Na hadhi yake ya kijamii Mbowe alikuwa anaingia Billz.
Alikuwa anapenda kukaa kaunta ya juu,na kinywaji chake pendwa Konyagi.
Sometimes anakuja na Mkewe,zikikolea wanapigana mate laivu!
Sijahadithiwa nimemuona Kwa macho yangu!
Anamtetea ayatollah
 
Hakuna mwanzilishi wa chama chochote cha kisiasa, kilochowahi kuanzishwa na mtanzania mzaliwa wa Singida
 
Sio kweli,Na hadhi yake ya kijamii Mbowe alikuwa anaingia Billz.
Alikuwa anapenda kukaa kaunta ya juu,na kinywaji chake pendwa Konyagi.
Sometimes anakuja na Mkewe,zikikolea wanapigana mate laivu!
Sijahadithiwa nimemuona Kwa macho yangu!
Haya 🐼
 
Back
Top Bottom