Jerry Muro akurupuka kuhusiana na mchezaji mpya wa Yanga

Jerry Muro akurupuka kuhusiana na mchezaji mpya wa Yanga

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
Jerry muro kusikia neno Banka limemchanganya alidhani sijui yule kiungo wa zamani wa yanga na simba Mohammed Banka

Ndugu Jerry Muro huyu ni Mohammed issa "Banka" mzenji aliye perform vizuri michuano ya Challenge na Zanzibar heroes na ni mdogo tu sijui miaka 23 na wala sio veterani wala mzee na jina la Banka kabatizwa kwa aina yake ya uchezaji unafananishwa na wa Mohammed simba Banka


Banka kastaafu mpira muda na wala hajishugulishi na soka sasa

Mzee siku nyingine usikurupuke [emoji23][emoji23][emoji23]

FB_IMG_15312964566257766.jpg
 
Jerry muro kusikia neno Banka limemchanganya alidhani sijui yule kiungo wa zamani wa yanga na simba Mohammed Banka

Ndugu Jerry Muro huyu ni Mohammed issa Banka mzenji aliye perform vizuri michuano ya Challenge na Zanzibar heroes na ni mdogo tu sijui miaka 23 na wala sio veterani wala mzee

Mzee siku nyingine usikurupuke [emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 807107
😛
 
Kiungo kisheti huyo dogo..wakate jina moja CAF kati ya Ngasa,Kaseke au mcongo watume jina la Banka..Yanga hakuna namba nane
 
Inakuwaje mtu unakuwa msemaji sana wa jambo ambalo huoifuatilii. Katika kitu nachoona aibu ni pamoja na kusemea jambo nisilolijua vizuri. Ndo maana mimi hunikuti majukwaa ya mpira wa kimataifa.
 
Nilimsikia hata mtangazaji wa Efm nae akimkandia nadhani mkule anajiita mchambuzi wa soka.
 
Huyu Jerry si mwanayanga imekuwaje tena hajui yanayoendelea
 
Back
Top Bottom