Jerry Muro ameiaibisha nchi, TFF, Yanga na Wanataaluma..ajiuzuru!

Jerry Muro ameiaibisha nchi, TFF, Yanga na Wanataaluma..ajiuzuru!

N
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na pia ni ya kusikitisha Shirikisho la Soka barani Africa ( CAF ) jana limesikitishwa na kitendo cha Idara ya Mawasiliano na Habari ya Klabu ya Yanga ( ambayo inaongozwa na Jerry Muro ) kwa kutokujua tararibu nzima za utoaji na upokeaji wa taarifa za Shirikisho hilo.

Kitendo ambacho CAF wamesikitika nacho ni baada ya kuona Klabu ya Yanga kupitia Idara yake hiyo ya Mawasiliano na Habari kuamua kujipangia wao siku, tarehe na muda wa mchezo wao dhidi ya TP Mazembe kinyume na taratibu za CAF ambazo hata hivyo zipo wazi na Mtu yoyote anaweza akazitafuta na kuziona.

Moja ya taratibu za CAF zinasema kuwa timu yoyote mwenyeji wa mchezo inatakiwa kutoa taarifa yake ya mechi siku tatu ( 3 ) baada ya kumaliza tu kucheza mchezo wake wa ugenini na si Siku ya nne ( 4 ) kama walivyofanya Yanga kupitia Msemaji wao Jerry Muro.

Kutokana na " upuuzi " huu wa Idara au Kurugenzi ya Mawasiliano na Habari Ya Klabu ya Yanga ambayo kwa 101% inaongozwa, kusimamiwa na kuratibiwa na Jerry Muro Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limekataa ombi la Yanga la kucheza mchezo wao huo tarehe 29 Siku ya Jumatano ijayo na Saa 1 usiku na badala yake CAF imesema mchezo huo utachezwa tarehe ile ile ( ambayo hata hivyo nasikia Mganga wa Yanga aliikataa kwani Kinyota inaonyesha Watafungwa magoli mengi ) ya 28 ambayo itakuwa ni Siku ya Jumanne na muda ni Saa 10 jioni.


Kwa haya yaliyoitokea Klabu ya Yanga ukiwa kama mtu mweledi na unayejua nini unafanya utagundua kuwa Msemaji wao Jerry Muro ametuaibisha sana Watanzania mbele ya CAF kwani kwa " upuuzi " wake hatoonekana ni yeye tu ndiye mwenye matatizo bali sasa tutaonekana Watanzania wote ni " mbayuwayu ". Vile vile kwa hicho kitendo Jerry Muro ameiabisha sana Klabu yetu / yangu ya Yanga na nashangaa kwanini mpaka sasa Viongozi wa Yanga bado wanamkodolea tu macho huyu Msemaji kwani amefanya Kosa kubwa sana tena la KIULEDI na KITAALUMA na hakupashwa hadi sasa hivi naandika hii taarifa kuendelea kuwepo Yanga.

Lakini kama haitoshi Jerry Muro amewakosea sana wenye TAALUMA yao ya Mawasiliano na Habari kwa hicho kitendo alichofanya kwani moja ya SIFA kubwa ya Mtu yoyote wa Mawasiliano na Habari ni muda wote kuwa na UFAHAMU mkubwa wa mambo, kufuatilia mambo kwa UMAKINI mkubwa na kuwa ni mtu mwenye MAARIFA huku muda mwingi akitakiwa KUJIONGEZA.

Nilichokigundua ni kwamba Msemaji wa Yanga Jerry Muro anatumia 99% ya Kazi zake katika KUJISIFU, kuisema SIMBA SPORTS CLUB, kujiita wa KIMATAIFA, kuzungumza tu kwa MIKOGO jinsi anavyopanda NDEGE na safari ya Ndege itakuwaje utadhani labda yeye ndiyo Rubani ( PILOT ) wa hiyo Ndege na kusema kuwa anaishi Mbezi Beach na ameoa Mke Mzungu na hiyo 1% tu iliyobaki ndiyo huitumia pekee katika kufanya Kazi muafaka za Yanga.

Nikiwa kama Mdau wa Michezo na Mwana Yanga tena wa KUFA KUFA kabisa naomba UONGOZI wa Yanga umwangalie huyu Msemaji wetu Jerry Muro kwa jicho la Tai ( Eagle ) kwani kwa makosa haya ya KIZEMBE kuna siku hakika atakuja kutugharimu sisi Wana Yanga na tutajuta mno. Uongozi wetu wa Yanga tafadhalini hebu tusaidieni kwani huu mchezo wetu na TP Mazembe isingekuwa UZEMBE wa huyu Msemaji wetu basi tungeucheza siku ile ile ambayo Mganga wetu wa PEMBA alitaka tuucheze ambapo tungeshinda goli 7 na sasa kwa kitendo cha Msemaji wetu kutokuwa na TAARIFA na UFAHAMU mkubwa wa KIMAWASILIANO na Watu wa CAF nina uhakika sasa kuwa hizo goli saba ( 7 ) sasa tutafungwa sisi hiyo Jumanne ijayo ya tarehe 28 huo muda wa Saa 10 jioni.

Jerry Muro muda ndiyo huu JIUZURU kwani bado hujachelewa!

Nawasilisha.
nimethibitisha we Ni simba,ya muro waachie waajiri wake ,au unataka ajiuzuru ili mite go hicho upewe wewe
 
Kama ni kweli Jerry muro ndio kaipotosha Yanga kwa kutokutimiza wajibu wake vizuri hadi ombi la Yanga likataliwe, ana haki ya kupewa onyo kali sana na kuomba radhi viongozi na mashabiki wake. Otherwise inaweza ikawa ni tatizo la Yanga yote labda walikuwa hawajafanya maamuzi kamili au bosi wao Manji alikuwa hayupo na hajatoa approval.

Kuchelewa huku kwa Yanga na uamuzi wa CAF kunainyima Yanga mapato maana hii mechi ilistahili kujaza uwanja, lkn pia kuharibu ratiba ya kocha.
 
Mkuu tatizo we unajulikana kabisa kuwa ni shabiki la kutupwa la Lunyasi, Kiukweli mkuu Simba inatupa tabu sana huku mtaani.


Anyway utabiri wako wa 7 mtungi naomba sana utimie. Ameeeen

Una uthibitisho wowote ule kuwa Mimi ni " Chura churani? "
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na pia ni ya kusikitisha Shirikisho la Soka barani Africa ( CAF ) jana limesikitishwa na kitendo cha Idara ya Mawasiliano na Habari ya Klabu ya Yanga ( ambayo inaongozwa na Jerry Muro ) kwa kutokujua tararibu nzima za utoaji na upokeaji wa taarifa za Shirikisho hilo.

Kitendo ambacho CAF wamesikitika nacho ni baada ya kuona Klabu ya Yanga kupitia Idara yake hiyo ya Mawasiliano na Habari kuamua kujipangia wao siku, tarehe na muda wa mchezo wao dhidi ya TP Mazembe kinyume na taratibu za CAF ambazo hata hivyo zipo wazi na Mtu yoyote anaweza akazitafuta na kuziona.

Moja ya taratibu za CAF zinasema kuwa timu yoyote mwenyeji wa mchezo inatakiwa kutoa taarifa yake ya mechi siku tatu ( 3 ) baada ya kumaliza tu kucheza mchezo wake wa ugenini na si Siku ya nne ( 4 ) kama walivyofanya Yanga kupitia Msemaji wao Jerry Muro.

Kutokana na " upuuzi " huu wa Idara au Kurugenzi ya Mawasiliano na Habari Ya Klabu ya Yanga ambayo kwa 101% inaongozwa, kusimamiwa na kuratibiwa na Jerry Muro Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limekataa ombi la Yanga la kucheza mchezo wao huo tarehe 29 Siku ya Jumatano ijayo na Saa 1 usiku na badala yake CAF imesema mchezo huo utachezwa tarehe ile ile ( ambayo hata hivyo nasikia Mganga wa Yanga aliikataa kwani Kinyota inaonyesha Watafungwa magoli mengi ) ya 28 ambayo itakuwa ni Siku ya Jumanne na muda ni Saa 10 jioni.


Kwa haya yaliyoitokea Klabu ya Yanga ukiwa kama mtu mweledi na unayejua nini unafanya utagundua kuwa Msemaji wao Jerry Muro ametuaibisha sana Watanzania mbele ya CAF kwani kwa " upuuzi " wake hatoonekana ni yeye tu ndiye mwenye matatizo bali sasa tutaonekana Watanzania wote ni " mbayuwayu ". Vile vile kwa hicho kitendo Jerry Muro ameiabisha sana Klabu yetu / yangu ya Yanga na nashangaa kwanini mpaka sasa Viongozi wa Yanga bado wanamkodolea tu macho huyu Msemaji kwani amefanya Kosa kubwa sana tena la KIULEDI na KITAALUMA na hakupashwa hadi sasa hivi naandika hii taarifa kuendelea kuwepo Yanga.

Lakini kama haitoshi Jerry Muro amewakosea sana wenye TAALUMA yao ya Mawasiliano na Habari kwa hicho kitendo alichofanya kwani moja ya SIFA kubwa ya Mtu yoyote wa Mawasiliano na Habari ni muda wote kuwa na UFAHAMU mkubwa wa mambo, kufuatilia mambo kwa UMAKINI mkubwa na kuwa ni mtu mwenye MAARIFA huku muda mwingi akitakiwa KUJIONGEZA.

Nilichokigundua ni kwamba Msemaji wa Yanga Jerry Muro anatumia 99% ya Kazi zake katika KUJISIFU, kuisema SIMBA SPORTS CLUB, kujiita wa KIMATAIFA, kuzungumza tu kwa MIKOGO jinsi anavyopanda NDEGE na safari ya Ndege itakuwaje utadhani labda yeye ndiyo Rubani ( PILOT ) wa hiyo Ndege na kusema kuwa anaishi Mbezi Beach na ameoa Mke Mzungu na hiyo 1% tu iliyobaki ndiyo huitumia pekee katika kufanya Kazi muafaka za Yanga.

Nikiwa kama Mdau wa Michezo na Mwana Yanga tena wa KUFA KUFA kabisa naomba UONGOZI wa Yanga umwangalie huyu Msemaji wetu Jerry Muro kwa jicho la Tai ( Eagle ) kwani kwa makosa haya ya KIZEMBE kuna siku hakika atakuja kutugharimu sisi Wana Yanga na tutajuta mno. Uongozi wetu wa Yanga tafadhalini hebu tusaidieni kwani huu mchezo wetu na TP Mazembe isingekuwa UZEMBE wa huyu Msemaji wetu basi tungeucheza siku ile ile ambayo Mganga wetu wa PEMBA alitaka tuucheze ambapo tungeshinda goli 7 na sasa kwa kitendo cha Msemaji wetu kutokuwa na TAARIFA na UFAHAMU mkubwa wa KIMAWASILIANO na Watu wa CAF nina uhakika sasa kuwa hizo goli saba ( 7 ) sasa tutafungwa sisi hiyo Jumanne ijayo ya tarehe 28 huo muda wa Saa 10 jioni.

Jerry Muro muda ndiyo huu JIUZURU kwani bado hujachelewa!

Nawasilisha.
nyie wamatopeni fuatilieni yakwenu,hayo mambo ya mganga kasema kuna siku sio nzuri ndo yanayowafanya timu lenu likose ubingwa kwa kuendekeza ushirikina,
 
Kama ni kweli Jerry muro ndio kaipotosha Yanga kwa kutokutimiza wajibu wake vizuri hadi ombi la Yanga likataliwe, ana haki ya kupewa onyo kali sana na kuomba radhi viongozi na mashabiki wake. Otherwise inaweza ikawa ni tatizo la Yanga yote labda walikuwa hawajafanya maamuzi kamili au bosi wao Manji alikuwa hayupo na hajatoa approval.

Kuchelewa huku kwa Yanga na uamuzi wa CAF kunainyima Yanga mapato maana hii mechi ilistahili kujaza uwanja, lkn pia kuharibu ratiba ya kocha.

Sasa Mkuu kwa haya maelezo yako Wewe huzioni hapo goli wiki / saba ( 7 ) ? Sijui kwanini Yanga yangu huwa kila mara inaingizwa choo cha Kike na huyu Msemaji wetu. Mwenyekiti wetu tunayekuchaguaga kwa njaa zetu wenyewe Manji huyaoni haya Tajiri?
 
nyie wamatopeni fuatilieni yakwenu,hayo mambo ya mganga kasema kuna siku sio nzuri ndo yanayowafanya timu lenu likose ubingwa kwa kuendekeza ushirikina,

Waambie Simba wenyewe Mkuu kwani Mimi kila mtu humu anajua kuwa ni Mwana Yanga tena wa Kindaki ndaki kabisa japo damu yangu ni Nyekundu ya kutukuka. Sijui tufanyeje sisi Wana Yanga ili tuwaombe msamaha TP Mazembe kwani kila tukichungulia kwa " Babu " tunaziona saba na tisa mara kwa mara.
 
Waambie Simba wenyewe Mkuu kwani Mimi kila mtu humu anajua kuwa ni Mwana Yanga tena wa Kindaki ndaki kabisa japo damu yangu ni Nyekundu ya kutukuka. Sijui tufanyeje sisi Wana Yanga ili tuwaombe msamaha TP Mazembe kwani kila tukichungulia kwa " Babu " tunaziona saba na tisa mara kwa mara.
itawezekanaje kufungwa saba nyumbani mkuu? hata simba huyu japokuwa anaumwa zika lakin hawez fungwa saba pale taifa
 
itawezekanaje kufungwa saba nyumbani mkuu? hata simba huyu japokuwa anaumwa zika lakin hawez fungwa saba pale taifa

Sasa Mkuu kwa beki yetu hii ya akina Cannavaro, Yondani na Kamusoko hatutagawana maumivu hiyo Jumanne pale Taifa? Nasikia tumesajili mchezaji anaitwa James Chura vipi ataweza kuruka ruka mbele ya Le Tout Puisant Mazembe?
 
Sasa Mkuu kwa beki yetu hii ya akina Cannavaro, Yondani na Kamusoko hatutagawana maumivu hiyo Jumanne pale Taifa? Nasikia tumesajili mchezaji anaitwa James Chura vipi ataweza kuruka ruka mbele ya Le Tout Puisant Mazembe?
usiogope mkuu kama goli nyingi tungepigwa na mafarao pale misri,acha uoga
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na pia ni ya kusikitisha Shirikisho la Soka barani Africa ( CAF ) jana limesikitishwa na kitendo cha Idara ya Mawasiliano na Habari ya Klabu ya Yanga ( ambayo inaongozwa na Jerry Muro ) kwa kutokujua tararibu nzima za utoaji na upokeaji wa taarifa za Shirikisho hilo.

Kitendo ambacho CAF wamesikitika nacho ni baada ya kuona Klabu ya Yanga kupitia Idara yake hiyo ya Mawasiliano na Habari kuamua kujipangia wao siku, tarehe na muda wa mchezo wao dhidi ya TP Mazembe kinyume na taratibu za CAF ambazo hata hivyo zipo wazi na Mtu yoyote anaweza akazitafuta na kuziona.

Moja ya taratibu za CAF zinasema kuwa timu yoyote mwenyeji wa mchezo inatakiwa kutoa taarifa yake ya mechi siku tatu ( 3 ) baada ya kumaliza tu kucheza mchezo wake wa ugenini na si Siku ya nne ( 4 ) kama walivyofanya Yanga kupitia Msemaji wao Jerry Muro.

Kutokana na " upuuzi " huu wa Idara au Kurugenzi ya Mawasiliano na Habari Ya Klabu ya Yanga ambayo kwa 101% inaongozwa, kusimamiwa na kuratibiwa na Jerry Muro Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limekataa ombi la Yanga la kucheza mchezo wao huo tarehe 29 Siku ya Jumatano ijayo na Saa 1 usiku na badala yake CAF imesema mchezo huo utachezwa tarehe ile ile ( ambayo hata hivyo nasikia Mganga wa Yanga aliikataa kwani Kinyota inaonyesha Watafungwa magoli mengi ) ya 28 ambayo itakuwa ni Siku ya Jumanne na muda ni Saa 10 jioni.


Kwa haya yaliyoitokea Klabu ya Yanga ukiwa kama mtu mweledi na unayejua nini unafanya utagundua kuwa Msemaji wao Jerry Muro ametuaibisha sana Watanzania mbele ya CAF kwani kwa " upuuzi " wake hatoonekana ni yeye tu ndiye mwenye matatizo bali sasa tutaonekana Watanzania wote ni " mbayuwayu ". Vile vile kwa hicho kitendo Jerry Muro ameiabisha sana Klabu yetu / yangu ya Yanga na nashangaa kwanini mpaka sasa Viongozi wa Yanga bado wanamkodolea tu macho huyu Msemaji kwani amefanya Kosa kubwa sana tena la KIULEDI na KITAALUMA na hakupashwa hadi sasa hivi naandika hii taarifa kuendelea kuwepo Yanga.

Lakini kama haitoshi Jerry Muro amewakosea sana wenye TAALUMA yao ya Mawasiliano na Habari kwa hicho kitendo alichofanya kwani moja ya SIFA kubwa ya Mtu yoyote wa Mawasiliano na Habari ni muda wote kuwa na UFAHAMU mkubwa wa mambo, kufuatilia mambo kwa UMAKINI mkubwa na kuwa ni mtu mwenye MAARIFA huku muda mwingi akitakiwa KUJIONGEZA.

Nilichokigundua ni kwamba Msemaji wa Yanga Jerry Muro anatumia 99% ya Kazi zake katika KUJISIFU, kuisema SIMBA SPORTS CLUB, kujiita wa KIMATAIFA, kuzungumza tu kwa MIKOGO jinsi anavyopanda NDEGE na safari ya Ndege itakuwaje utadhani labda yeye ndiyo Rubani ( PILOT ) wa hiyo Ndege na kusema kuwa anaishi Mbezi Beach na ameoa Mke Mzungu na hiyo 1% tu iliyobaki ndiyo huitumia pekee katika kufanya Kazi muafaka za Yanga.

Nikiwa kama Mdau wa Michezo na Mwana Yanga tena wa KUFA KUFA kabisa naomba UONGOZI wa Yanga umwangalie huyu Msemaji wetu Jerry Muro kwa jicho la Tai ( Eagle ) kwani kwa makosa haya ya KIZEMBE kuna siku hakika atakuja kutugharimu sisi Wana Yanga na tutajuta mno. Uongozi wetu wa Yanga tafadhalini hebu tusaidieni kwani huu mchezo wetu na TP Mazembe isingekuwa UZEMBE wa huyu Msemaji wetu basi tungeucheza siku ile ile ambayo Mganga wetu wa PEMBA alitaka tuucheze ambapo tungeshinda goli 7 na sasa kwa kitendo cha Msemaji wetu kutokuwa na TAARIFA na UFAHAMU mkubwa wa KIMAWASILIANO na Watu wa CAF nina uhakika sasa kuwa hizo goli saba ( 7 ) sasa tutafungwa sisi hiyo Jumanne ijayo ya tarehe 28 huo muda wa Saa 10 jioni.

Jerry Muro muda ndiyo huu JIUZURU kwani bado hujachelewa!

Nawasilisha.

nakubaliana na wewe kwa 100% - Muro kakosea kweli. kama ulivyopatia kusema, inaonekana anasukumwa zaidi na unazi na si principles za kiuongozi.

but na wewe pia naona umekosea kwani umeongea kinazi zaidi. mambo ya mganga na Yanga yanahusiana vipi na ukakasi ulioupata kwa Muro?

obviously I can smell bitterness kwenye maneno yako. bitterness ya kuona Yanga inafanikiwa zaidi ya wengine (ambao Muro huwaita wa matopeni). hii ya kumnanga Muro ni sideshow tu lakini the crux of the matter ni kuwa una bitterness dhidi ya mafanikio ya Yanga!
 
usiogope mkuu kama goli nyingi tungepigwa na mafarao pale misri,acha uoga

Mafarao na TP Mazembe ni sawa Mkuu? Police na Mwanajeshi wanalingana uwezo japo wote ni wapiganaji au wapambanaji?
 
nakubaliana na wewe kwa 100% - Muro kakosea kweli. kama ulivyopatia kusema, inaonekana anasukumwa zaidi na unazi na si principles za kiuongozi.

but na wewe pia naona umekosea kwani umeongea kinazi zaidi. mambo ya mganga na Yanga yanahusiana vipi na ukakasi ulioupata kwa Muro?

obviously I can smell bitterness kwenye maneno yako. bitterness ya kuona Yanga inafanikiwa zaidi ya wengine (ambao Muro huwaita wa matopeni). hii ya kumnanga Muro ni sideshow tu lakini the crux of the matter ni kuwa una bitterness dhidi ya mafanikio ya Yanga!

Hivi kweli Mimi Mwana Yanga naweza kabisa nikawa na uchungu na mafaniko ya timu yangu ya Kimataifa inayokaa katika Jengo chafu na kuu kuu sasa mwaka wa 77 huku kipindi cha masika tunatafutana pale Kaunda? Nitake radhi Mkuu kwani kwa wanaonijua humu Mimi ni Mwana Yanga wa kufa kufa!
 
Mpira wetu bongo ni mpira wa ndani ya mipaka yetu tu, hata Africa Mashariki tu, ni kimbembe, mpira unachezwa zaidi midomoni kupitia vyombo vyetu vya habari, masjabiki tu wameipaisha yanga ila tukija ktk uhalisia, tutaona ktk michezo iliyopo mbele yao.
 
Mambo ya Yanga yanakuhusu nini?

Nikiwa kama Mwanachama wa Yanga nina haki ya kulalamika kwa Kiongozi wetu tuliyemchagua kwa njaa zetu na umasikini wa kiupeo unaotukabili " Gabachori " ili hatua stahiki zichukuliwe. Tena unatakiwa unipongeze Mimi mwana Yanga mwenzio badala ya kunilaumu. Uko wapi Mkuu kwa sasa? Kama vipi tukutane huku Chalinze kwa " Babu " tunapojitahidi kupunguza hizi goli saba au tisa ambazo nimethibitishiwa kuwa ndiyo tutafungwa na TP Mazembe tarehe 28 June 2016. Anahitajika mtu wa kujitoa muhanga ila bahati mbaya kila mtu anapenda bado kuishi.
 
Back
Top Bottom