Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
-Mkuu wa kitengo cha habari Yanga SC, Ndugu Jerry .C. Murro amelazimika kukatisha likizo yake na kurejea jijini Dar, ambapo hakuwa na maneno mengi zaidi ya kusema. .
" Tulieni wala msijali nimeshafika jijini Dar. Kumbukeni NGARIBA HAOGOPI MKOJO"
======
Kama utakuwa na kumbukumbu vizuri utakumbuka wiki iliyopita Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka nchini ilimkuta na hatia Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro na hivyo kumfungia mwaka mmoja kutokujihusisha na soka na kumpiga faini ya shilingi Milioni tatu.
Wakati Yanga ikipambana na Medeama katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF), Jerry Muro aliandika Instagram “Tutaishangilia timu yetu mpaka watufungie na uku tu, ila wajue mpira kwetu ni sehemu ya maisha @yangasc”
Maneno ambayo Muro ameyaandika yamepokelewa na mashibiki wa soka kwa mitazamo tofauti wengine wakiona ametumia ujumbe huo kufikisha sehemu ujumbe lakini wengine wakiona ni maneno ya kawaida ila tu akionyesha mapenzi yake kwa Yanga.
Jerry Muro ameamua kukubali hukumu iliyotolewa dhidi yake na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inayomtaka kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa mwaka mmoja
" Tulieni wala msijali nimeshafika jijini Dar. Kumbukeni NGARIBA HAOGOPI MKOJO"
======
Kama utakuwa na kumbukumbu vizuri utakumbuka wiki iliyopita Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka nchini ilimkuta na hatia Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro na hivyo kumfungia mwaka mmoja kutokujihusisha na soka na kumpiga faini ya shilingi Milioni tatu.
Wakati Yanga ikipambana na Medeama katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF), Jerry Muro aliandika Instagram “Tutaishangilia timu yetu mpaka watufungie na uku tu, ila wajue mpira kwetu ni sehemu ya maisha @yangasc”
Maneno ambayo Muro ameyaandika yamepokelewa na mashibiki wa soka kwa mitazamo tofauti wengine wakiona ametumia ujumbe huo kufikisha sehemu ujumbe lakini wengine wakiona ni maneno ya kawaida ila tu akionyesha mapenzi yake kwa Yanga.
Jerry Muro ameamua kukubali hukumu iliyotolewa dhidi yake na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inayomtaka kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa mwaka mmoja