Jerry Muro amekubali yaishe, arejea mjini na kusema haya

Jerry Muro amekubali yaishe, arejea mjini na kusema haya

Ameandika haya instagram
b624e571573be2f4d2647111be9e58bd.jpg


Kila nikifikiria figisu za soka la Bongo aisee nachoka kabisa, let me walk away for a while though I will be missing my fans and my people wa kimataifa but I must walk away for a while,”
Funs au Fans??
 
My funs.
Huyu ndo alisema ana masters toka nchi 3.!!
Hapo sasa, with his three masters he is a failure, ameshakuwa ni ghostworker one year away na bado atakauwa analipwa, yanga shtukeni upesi
 
Ameandika haya instagram
b624e571573be2f4d2647111be9e58bd.jpg


Kila nikifikiria figisu za soka la Bongo aisee nachoka kabisa, let me walk away for a while though I will be missing my fans and my people wa kimataifa but I must walk away for a while,”

Haya alikuwa hayajui? Sasa ili ajue kuwa Watanzania UNAFIKI ni ASILI yetu sasa wale wote ambao walikuwa wakimsifu na kumpandisha " mzuka " kupovuka vile wote watamkwepa na kuwa wanamcheka na pengine hata kumwona " juha ". Kama sasa tu ni wiki moja imepita tayari ameshaanza " kusahaulika " vipi ikifika miezi mitatu? Atafute KAZI ya kufanya halafu si anasemaga kuwa yeye ni MSOMI wa KIWANGO cha JUU na kwamba ana MASTERS DEGREE? Sasa tunamtaka aitumie hiyo ELIMU yake ili tuupime huo USOMI wake wa kuunga unga.
 
Sidhani kama usomi unaingiliana na haya mambo, kuandika funs yatupasa tu kuelewa hiyo ni spelling error lakini alikuwa na maana ya fans, kwani kukosea tumeumbiwa binadamu hakika asiyepo machoni na rohoni hayupo.....leo hii msemaji wa timu ya kimataifa anaonekana mara alikuwa anajidai,mara sijui nini daaah tatizo letu huwa tunashindwa ku appreciate mtu hata kama kafanya dogo jema.....akipata tatizo moja ndo basi anaonekana mbaya daima ,tuweni waungwana
 
Aende tu akamalizie masters degree ya nne. 'Funs' wake tutamsubiri arudi
 
h
Kwa habari za kuaminika zilizonifikia hata dakika tatu ( 3 ) kutoka sasa hazijaisha ambazo zimetoka katika chanzo cha kuaminika ndani ya Klabu ya Yanga na Familia nzima ya Jerry Muro iliyopo Dar na Machame kijijini kwao imesema kwamba baada ya tambo zote zile, majigambo yote yale na kujishaua kwake kote kule huku " akipovuka " kwa kupiga " mikwara " yake Mbuzi na " kuidindia " Kamati ya MAADILI ya TFF ni kwamba MKUU WA IDARA YA HABARI NA MAWASILIANO wa Klabu ya Yanga ( wanaosubiri kipigo kingine kikali Jumamosi hii ya Keshokutwa tu ) JERRY CORNELIUS MURO amekubali bila hiyana KUTUMIKIA ADHABU YAKE YA KUTOJIHUSISHA NA MASUALA YA MICHEZO AKIWA KAMA MTENDAJI WA YANGA KWA MUDA WA MWAKA MMOJA ( 1 ).

Inasemekana kuwa Jerry Muro ameamua kukubali yaishe ili aweze kutumia muda huo wa mwaka mmoja kujikita katika KILIMO cha MWENDOKASI huko kwao Machame na kuuza MBEGE kwa wingi ili aweze kupata HELA anazotakiwa kulipa TFF Shilingi Milioni tatu ( 3,000,000/ ) kwani alijaribu kuuomba UONGOZI wa Yanga kuwa umsaidie kulipa hilo DENI lakini akajibiwa jibu moja tu kuwa nanukuu " KILA MTU ATABEBA MZIGO WAKE MWENYEWE ".

Hata hivyo kuna uwezekano mkubwa Jerry Muro asiende kulima na kuuza mbege huko Kwao UMACHAMENI na badala yake akauza ama Gari yake au akakimbia tena kwa TB Joshua kuomba msaada wa KIROHO ili TFF walisahau hilo DENI lao.

Ni hayo tu Wapendwa wana Sports wenzangu. MNYAMA MNYAMANI yupo sasa ULUGURUNI na akitoka huko mtaisoma namba msimu ujao kwa ladha za Kikameruni na Kiganda.
huo ni unazi wa kifala.
 
Kumbe na wewe ni waukae sekulu? [emoji122]
 
Back
Top Bottom