View attachment 332434
Nafikiri wanaowashwa na ambao wanahitaji kukunwa ni hao hapo juu.Tangu TFF imfungie Juma Nyosso tabia hii imekuwa sugu kwa Yanga.Naomba TFF iliangalie hili kwa jicho la huruma na imfungulie Nyosso ili aje atulize mizuka ya wachezaji hawa.
Tunashukuru kwa kuwapotezea muda Walimu wako wa SHERIA huko Chuo Kikuu kwani umeonyesha udhaifu mkubwa sana wa kiakili na umeivamia hiyo fani. Siku hizi kila mtu ni mwanasheria.