Jerry Muro amtusi tena Haji Manara

Jerry Muro amtusi tena Haji Manara

View attachment 332434







Nafikiri wanaowashwa na ambao wanahitaji kukunwa ni hao hapo juu.Tangu TFF imfungie Juma Nyosso tabia hii imekuwa sugu kwa Yanga.Naomba TFF iliangalie hili kwa jicho la huruma na imfungulie Nyosso ili aje atulize mizuka ya wachezaji hawa.

Lakini moja kati ya malalamiko ya Malalamikaji Haji Manara ni kwamba Tambwe alimnyoso Singano, sasa sijajua yeye kinamhusu nini na nadhani mpk hapo utagundua nani anawashwa na pilipili asiyoila.

Shida yenu Simba Koko ni uswahili. Kulalama kama watoto wa nyumba ndogo. Uwanjani tumeshawafanya 'manyuar' sasa sijui mnataka tuwa'do' na wapi mridhike.
 
Tunashukuru kwa kuwapotezea muda Walimu wako wa SHERIA huko Chuo Kikuu kwani umeonyesha udhaifu mkubwa sana wa kiakili na umeivamia hiyo fani. Siku hizi kila mtu ni mwanasheria.

Kiukweli mimi si mwanasheria na wala sijawahi kusoma sheria, nilichokua najaribu kukionesha ni namna gani tutasema Muro anamzungumzia Manara wakati hakuna sehemu katika quote ya maneno ya Muro inayotaja jina la Manara. Kilichopo hapo ni hisia tu, sasa hilo la mimi kuwapotezea muda sijui walimu wa sheria huko chuo kikuu naona halina mashiko.
 
Back
Top Bottom