Jerry Muro; Ana tatizo la kisaikolojia, Asaidiwe

Jerry Muro; Ana tatizo la kisaikolojia, Asaidiwe

Baba Kiki

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2012
Posts
1,544
Reaction score
943
Nilianza kuwa na wasiwasi siku nyingi lakini sasa nimejiridhisha pasipo shaka yoyote kuwa Jerry Murro hastahili kushika nafasi aliyo nayo pale Yanga. Anaweza kuwa na elimu (knowledge) ya mawasiliano ya umma lakini uzoefu wa usemaji wa klabu kubwa kama Yanga na uwezo wake binafsi kama mtu yaani behavioural competencies unakataa Jerry kuwa msemaji wa timu inayotamani kufikia level ya TP Mazembe, Al Ahly n.k

Kwa muda mfupi amedhihirisha hana busara, si muungwana, hana ushawishi wa maneno, ni mtukanaji, mpenda sifa, mropokaji, na hana ukomavu ktk nafasi aliyo nayo.

Ukiwa na wanataaluma kama Dr Tiboroha, na Clement Sanga, Hans van Pluim au hata Yusuph Manji halafu hawa wawe wanasemewa na mtu aina ya Jerry Murro unagundua kuwa anabaki kuwa liability zaidi kuliko asset hivyo uongozi wa Yanga umsaidie huyu kijana kisaikolojia na kumpunguzia majukumu hadi hapo atakapopevuka zaidi.

Ni mtazamo tu lkn
 
...ni mropokaji; hajui ni wakati gani, aongee nini.Kwa kifupi linalomjia,ndilo limtokalo!
'eti mimi sifanyi vitu kama mzaramo'!!
 
...ni mropokaji; hajui ni wakati gani, aongee nini.Kwa kifupi linalomjia,ndilo limtokalo!
'eti mimi sifanyi vitu kama mzaramo'!!

Hivi wazaramo wanaoipenda Yanga watakuwa na hali gani kila wakimuona jamaa?
 
Tokea apigwe chini na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Jerry Muro kaanza kuchanganyikiwa
 
Nilianza kuwa na wasiwasi siku nyingi lakini sasa nimejiridhisha pasipo shaka yoyote kuwa Jerry Murro hastahili kushika nafasi aliyo nayo pale Yanga. Anaweza kuwa na elimu (knowledge) ya mawasiliano ya umma lakini uzoefu wa usemaji wa klabu kubwa kama Yanga na uwezo wake binafsi kama mtu yaani behavioural competencies unakataa Jerry kuwa msemaji wa timu inayotamani kufikia level ya TP Mazembe, Al Ahly n.k

Kwa muda mfupi amedhihirisha hana busara, si muungwana, hana ushawishi wa maneno, ni mtukanaji, mpenda sifa, mropokaji, na hana ukomavu ktk nafasi aliyo nayo.

Ukiwa na wanataaluma kama Dr Tiboroha, na Clement Sanga, Hans van Pluim au hata Yusuph Manji halafu hawa wawe wanasemewa na mtu aina ya Jerry Murro unagundua kuwa anabaki kuwa liability zaidi kuliko asset hivyo uongozi wa Yanga umsaidie huyu kijana kisaikolojia na kumpunguzia majukumu hadi hapo atakapopevuka zaidi.

Ni mtazamo tu lkn

Nakiri ulikuwa na wazo la kutaka kusilisha jamvini lakini kwa bahati mbaya sana uwezo au sanaa ya kuwasilisha hoja ndio umekosa. Nafikiri ungelenga moja kwa moja kosa ama makosa ya Muro aliyoyafanya ndio uanze kumtuhumu ingeleta maana zaidi. Lakini kwa jinsi hii nawiwa kuamini kwamba umeghubikwa na aidha hasira, chuki au mapenzi ya upande Fulani.

Usijali hata mimi ni mtazamo tu
 
mmachame yule hana subira hata kidogo naona keshafika anakotaka baada ya kukoswakoswa jela
 
Yanga waliangalia ninikumpa usemaji wa klabu mtu ambaye hatoki kwenye familia ya kimichezo, au alimuweka Davis Mosha siku zile.
 
Shutuma zisizo na msingi au una chuki binafsi JM?! Funguka tusikie!


Nilianza kuwa na wasiwasi siku nyingi lakini sasa nimejiridhisha pasipo shaka yoyote kuwa Jerry Murro hastahili kushika nafasi aliyo nayo pale Yanga. Anaweza kuwa na elimu (knowledge) ya mawasiliano ya umma lakini uzoefu wa usemaji wa klabu kubwa kama Yanga na uwezo wake binafsi kama mtu yaani behavioural competencies unakataa Jerry kuwa msemaji wa timu inayotamani kufikia level ya TP Mazembe, Al Ahly n.k

Kwa muda mfupi amedhihirisha hana busara, si muungwana, hana ushawishi wa maneno, ni mtukanaji, mpenda sifa, mropokaji, na hana ukomavu ktk nafasi aliyo nayo.

Ukiwa na wanataaluma kama Dr Tiboroha, na Clement Sanga, Hans van Pluim au hata Yusuph Manji halafu hawa wawe wanasemewa na mtu aina ya Jerry Murro unagundua kuwa anabaki kuwa liability zaidi kuliko asset hivyo uongozi wa Yanga umsaidie huyu kijana kisaikolojia na kumpunguzia majukumu hadi hapo atakapopevuka zaidi.

Ni mtazamo tu lkn
 
Wamgonge tena rungu la 5m akili itarudi
 
Wamgonge tena rungu la 5m akili itarudi

acheni kumjadili huyu mshamba kila siku..mpira wetu ndivyo ulivyo ukishafika simba na yanga unajiona umefika!!klabu zenyewe unafukuzwa mda wowote..
 
Nakiri ulikuwa na wazo la kutaka kusilisha jamvini lakini kwa bahati mbaya sana uwezo au sanaa ya kuwasilisha hoja ndio umekosa. Nafikiri ungelenga moja kwa moja kosa ama makosa ya Muro aliyoyafanya ndio uanze kumtuhumu ingeleta maana zaidi. Lakini kwa jinsi hii nawiwa kuamini kwamba umeghubikwa na aidha hasira, chuki au mapenzi ya upande Fulani.

Usijali hata mimi ni mtazamo tu


Asante kwa mtazamo wako.
 
...nimewaachia hiyo kazi,wamfanye watachotaka!

wakati mwingine Jerry Yuko sahihi kwani baba Mwanaisha na majipu manufacturing si ni MTU Wa pwani ndugu Wa wazaramo.HIV manara yeye mbona naona kama ndo jiipu kabisa,?
 
Matatizo ya kuzoea mwanamke kuhudumia kila kitu kwenye familia ndo yanamsumbua
 
Back
Top Bottom