cc Jamali Malinzi.
Hahahaha,hili ndio soka letu limepofikia sasa.
Team zinaboronga,Wasemaji wa Club wamekuwa Waimba Taarabu(Mzee Yusuph)amekuwa Mzee Yusuph,Kitwana Manara nae amekuwa(Omary Tego)
Watu wanataka matokeao Uwanjani,Kwenye Mikataba feki waomo,kwenye Usajili unasikia eti mtu amekesha kwenye Hotel akihakikisha kwamba Team Pinzania haiji kusajili mchezaji wao.
Tumechoka Mpira wa Magazeti na Vijembe.
Wakitoka hao utasikia kina Kaburu na Manji wanalianzisha la kwao,yaani ndio maisha yetu hayo.
Hebu Waite hawa wasemaji wa Team na ukae nao, hiki sio Watanzania tunachokitaka, reflection yake inaenda hadi kwenye National Team indirectly.