Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Una clip audio ama videoJamaa aliuchangamsha sana mpira wa miguu enzi na yeye na Haji Manara. Wazee wa Simba walikua wanakusanyana wanalia wakisema makolo wanatukanwa. Sitokuja kusahau enzi zile
Mkuu miaka zaidi ya saba au nane iliyopita clip naitoa wapi?Una clip audio ama video
Mbona ile ya wenye akili wapo wawili tu imepita miaka dahali na bado watu wanayo na ukitaka unawekewa.Mkuu miaka zaidi ya saba au nane iliyopita clip naitoa wapi?
Acha kuudanganya uma ww utopolo...eti wanalia..au umekumbuka hao wa kwenu jangwani wanalia kwa ajili ya Jemedari...hao Muro na Manara walikuwaga wanatifuana wao kwa waoJamaa aliuchangamsha sana mpira wa miguu enzi na yeye na Haji Manara. Wazee wa Simba walikua wanakusanyana wanalia wakisema makolo wanatukanwa. Sitokuja kusahau enzi zile
Hahahaaa na sio ubini wa DewjiAtakuja Yanga akiwa anaitwa MWAMEDI na sio MO!
Ni watu wa Simba ndio walizitunza sio wenye akili timamu kutunza vitu kama hivyoMbona ile ya wenye akili wapo wawili tu imepita miaka dahali na bado watu wanayo na ukitaka unawekewa.
Nyie mmeanza lini kushabikia mpira?Acha kuudanganya uma ww utopolo...eti wanalia..au umekumbuka hao wa kwenu jangwani wanalia kwa ajili ya Jemedari...hao Muro na Manara walikuwaga wanatifuana wao kwa wao
Tumtoe Ally Kamwe tumrudishe Jerry MuroJamaa aliuchangamsha sana mpira wa miguu enzi na yeye na Haji Manara. Wazee wa Simba walikua wanakusanyana wanalia wakisema makolo wanatukanwa. Sitokuja kusahau enzi zile