PeterwaPerer
Member
- Sep 12, 2024
- 41
- 63
Ana nini cha kuongeza Yanga? Ilimfia Kajumulo, Singida na hata Simba inaonekana anafeli nako, Mo hana jipyaHersi amejaribu kurikruti watu wengi sana kutoka Simba kuanzia wachezaji hadi viongozi. Wengine aliwapata na wengine aliwashindwa. Sitashangaa kama alimuaprochi pia Mo.