Jerry Muro ndiye DC pekee ambaye bado ana U-Sabaya USabaya?

Pamoja na aliyoyafanya Old Sabaya ambayo si mazuri ila amesalitiwa maana wapo wengi tu kwenye mfumo na Sabaya nikwasababu alikuwa mstari wa mbele......ila Sabaya akiamua kumwaga mboga unaweza kuta hakuna msafi hata mmoja
 
alipewa u dc kwa influence ya makonda ,alikuwa anamwandika kwa kusifia sifa makonda.....akili zake zipo chini mnoooo
 
Halafu nisikie tena mtu anasimama hadharani na kusema eti mkuu wa Wilaya ndie Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya. Nitamuona kama mtu ambaye hajavaa nguo kutokana na haya yaliyotendwa na Sabaya, genge lake pamoja kamati yake ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya
 
Sijawahi kumsikia akijisifu toka mwendazake aondoke, wewe utakuwa unakutana nae kwenye mambo yenu huko ndio anakutishia.
Wee, huyu Jerry aliingia kibabe nyumbani Kwa wakili merinyo bila kufata utaratibu, na akaumia maabavu na kuwaweka ndani( lockup) watoto wawili wa mh. Merinyo mbao nao ni mawakili. Haya yote aliyafanya baada ya hayati JPM kufariki.
 
Kafidishie gepu miaka 6 ya kibano cha ngosha ilikuwa si poa
 
Wee, huyu Jerry aliingia kibabe nyumbani Kwa wakili merinyo bila kufata utaratibu, na akaumia maabavu na kuwaweka ndani( lockup) watoto wawili wa mh. Merinyo mbao nao ni mawakili. Haya yote aliyafanya baada ya hayati JPM kufariki.
Duh, shutuma nzto..walimuacha salama kweli watafsir sheria hao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…