nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Aisee ila hawa jamaa bwana hawachelewi kusema Yikpe kahongwa Range Rover na Simba, leo asubuhi katika Wasafi Jerry Muro kamuita Yikpe kwamba ni Boya na anamshangaa Mzungu kumpanga boya akiwaacha kina Ngassa benchi.
Kwenye EFM, Nugaz a.k.a Juma Khatib alisema kwamba alikuwa ana doubt kuhusu Yikpe muda mrefu hadi akampigia simu Boniface Ambani huko Kenya kuomba maelezo zaidi na clip za Yikpe akiwa Gor Mahia, akaulizwa kuhusu nani aliyemsajili Yanga, hakukuwa na jibu.
Hawa jamaa wana safari ndefu sana ila kwa kuwa wana washabiki vilaza wasiojielewa walishajua jinsi ya kucheza na saikolojia yao.
Kwenye EFM, Nugaz a.k.a Juma Khatib alisema kwamba alikuwa ana doubt kuhusu Yikpe muda mrefu hadi akampigia simu Boniface Ambani huko Kenya kuomba maelezo zaidi na clip za Yikpe akiwa Gor Mahia, akaulizwa kuhusu nani aliyemsajili Yanga, hakukuwa na jibu.
Hawa jamaa wana safari ndefu sana ila kwa kuwa wana washabiki vilaza wasiojielewa walishajua jinsi ya kucheza na saikolojia yao.