Beso
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 216
- 59
kitendo chako cha kumlazimisha mwanachama wa simba aitwaye msumali aseme amekwenda kwenye klabu ya yanga kuroga ni kujidhalilisha wewe mwenyewe katika zama hizi bado unaabudu kurogwa mchana kweupe mbele ya mkutano wa waandishi wa habari.chanzo star tv habari saa mbili usiku huu.