maneno ya kiganga aliyokuwa anatambika jerry muro ndio yanasababisha soka letu haliendelei YANGA nao kila wakifungwa wanasingizia wamerogwa, TFF WAMCHUKULIE HATUA ILI IWE FUNDISHO KWA YANGA NZIMA , SABABU HATA MZEE AKILIMALI AMBAYE NI MKONGWE ZAIDI KATIKA KLABU YA YANGA HAKUTOA MATAPISHI KAMA ALIYOTOA HUYU KINUKA MKOJO KIBUZI KACHOKA JERRY MURO, ndo maana maduka ya wachaga yamejaa mazezeta. nina wasiwasi jinsi alivyopata hiyo nafasi
Sijaelewa. Ushirikina hauna nafasi wala haufumbiwi macho!ni vyema uhamie Jangwani....mahala ambapo Ushirikina hauna nafasi wala haufumbiwi macho.
maneno ya kiganga aliyokuwa anatambika jerry muro ndio yanasababisha soka letu haliendelei YANGA nao kila wakifungwa wanasingizia wamerogwa, TFF WAMCHUKULIE HATUA ILI IWE FUNDISHO KWA YANGA NZIMA , SABABU HATA MZEE AKILIMALI AMBAYE NI MKONGWE ZAIDI KATIKA KLABU YA YANGA HAKUTOA MATAPISHI KAMA ALIYOTOA HUYU KINUKA MKOJO KIBUZI KACHOKA JERRY MURO, ndo maana maduka ya wachaga yamejaa mazezeta. nina wasiwasi jinsi alivyopata hiyo nafasi
Jery Muro na Nape hawana tofauti sana katika utendaji wao, wote wanaongozwa na mihemko yao binafsi kuliko taasisi inataka useme nini.
Hivi Man United,Barca,R Madrid,Asernal,Milan na club kubwa Ulaya wana maofisa Habari?...
Unasikitika nini yule kijana kupigwa......
Je umeajiliwa kwa madhumuni ya kukosoa wasemaji wa Yanga....?
Ni lazima imani za kishirikina zikemewe katika soka la tz..
Huwezi kukemea uchawi kwa kukaa kimya ..Hivyo alichofanya Jerry ni sahihi kabisa.
Kama unajisikia kuumia kama shabiki wa Simba sc kwa kuambiwa ukweli...basi no vyema uhamie Jangwani....mahala ambapo Ushirikina hauna nafasi wala haufumbiwi macho.
hyo msumali ni shabiki mkubwa wa simba toka.anasoma kinondoni muslim. Na sasa ni mmoja wa mwanachama wa kundi la simba ukawa. Nauliza wapenzi wa simba kule shinyanga walimpiga kwa sababu gani?
Mkuu yanga hakuna ushilikina??
Unajichanganya!!!
1.Mtu anapohisi anarogwa japo mtu alishasema amliwafuata waandishi wa habari, huo ndio ushirikina
2.Mashabiki wa yanga wanapovamia gorini kutupa groves za gori keeper( rejea mapinduzi cup) huo ndio ushirikina
3.wale viongozi wa Yanga walifukua au kufukia vitu uwanjani mechi yao ya kwanza na Kagera Sugar, huo ndio ushirikina
Upoo!!!
Msumali anajulikana ni mchawi kupitiliza na hii si mara ya kwanza viongozi wa Simba Kukamatwa wakiwa wanaloga kwenye jengo la Yanga
Unaonekana kabisa kuwa wewe ni shabiki wa Simba sc....!
Kwanini wakose? Wewe unafikiri hizi website zao wanaendesha akina nani. Hujawahi kuona TV zao? Mfano ni MUFC TV (Manchester United Football Club Television), Liverpool FC Tv nk..
Tofauti ni kwamba jinsi wanavyotoa habari ni tofauti na sisi.
Hapo katika utoaji habari ndiyo kwenye tatizo...msemaji wa club anaropoka kupita maelezo,harafu anazungumzia masuala ya kiufundi,kitaabibu,mifumo ya uchezaji na mengineyo ambayo Hana utalaamu nayo...
Mkuu yanga hakuna ushilikina??
Unajichanganya!!!
1.Mtu anapohisi anarogwa japo mtu alishasema amliwafuata waandishi wa habari, huo ndio ushirikina
2.Mashabiki wa yanga wanapovamia gorini kutupa groves za gori keeper( rejea mapinduzi cup) huo ndio ushirikina
3.wale viongozi wa Yanga walifukua au kufukia vitu uwanjani mechi yao ya kwanza na Kagera Sugar, huo ndio ushirikina
Upoo!!!
yeye fani yake ni rushwa tu,angalia tumashavu twake tulivonona!