demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
maneno ya kiganga aliyokuwa anatambika jerry muro ndio yanasababisha soka letu haliendelei YANGA nao kila wakifungwa wanasingizia wamerogwa, TFF WAMCHUKULIE HATUA ILI IWE FUNDISHO KWA YANGA NZIMA , SABABU HATA MZEE AKILIMALI AMBAYE NI MKONGWE ZAIDI KATIKA KLABU YA YANGA HAKUTOA MATAPISHI KAMA ALIYOTOA HUYU KINUKA MKOJO KIBUZI KACHOKA JERRY MURO, ndo maana maduka ya wachaga yamejaa mazezeta. nina wasiwasi jinsi alivyopata hiyo nafasi
Unaonekana kabisa kuwa wewe ni shabiki wa Simba sc....!