Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Tumemsikia Muro Jana akitamba pamoja na mambo mengine akionyesha kuwa Yanga ni club yenye uwezo wa kifedha kuliko Simba tena kwa lugha ya dharau kubwa.
Anachoshindwa kuelewa in kuwa Yanga pamoja na kuwa in club ya wanachama Pesa yake yote na pengine hata mshahara wake in fedha za mfukoni mwa Manji na huwa ana hiari ya kupanga matumizi.
Ndio maana hata kikatiba muda wa Uchaguzi umepita wanashindwa kuitisha mwingine mpaka Manji atakapo taka mwenyewe. Hilo sio jambo la fahari kwa wenye timu (wanachama).
Tofauti na watani wao ambao tumeona wameanzisha na miradi kama duka la vifaa vya michezo na hao marafiki wa Simba huwa wanaisaidia timu Nayo inapanga matumizi kwa taratibu za club sio MTU mmoja.
Aache matambo ya kimasikini hayo.
Anachoshindwa kuelewa in kuwa Yanga pamoja na kuwa in club ya wanachama Pesa yake yote na pengine hata mshahara wake in fedha za mfukoni mwa Manji na huwa ana hiari ya kupanga matumizi.
Ndio maana hata kikatiba muda wa Uchaguzi umepita wanashindwa kuitisha mwingine mpaka Manji atakapo taka mwenyewe. Hilo sio jambo la fahari kwa wenye timu (wanachama).
Tofauti na watani wao ambao tumeona wameanzisha na miradi kama duka la vifaa vya michezo na hao marafiki wa Simba huwa wanaisaidia timu Nayo inapanga matumizi kwa taratibu za club sio MTU mmoja.
Aache matambo ya kimasikini hayo.