MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
Hayo yaniniyanga 2 - simba 0
Mki bahatisha inakuwa shida mjini
Kwamba hamkutegemea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yaniniyanga 2 - simba 0
Dah!! Baba hilo neno, wanachofanya ni sawa na Nyani kuchekana Mikia tu.Simba mnaendeshwa na Hans Pope kila siku kama hamtaki kocha hata awe vipi anaondoka mnasema hamumtegemei mtu?hawa wote maskini hawana tofauti tofauti labda nyinyi tajir wenu mjanja mjanja anakopesha kwa riba
Nifah wewe unadhani no jambo la fahari dume zima linabana pua kutamba eti Kocha wetu kaja na KLM wakati anajua fedha zimetoka mfukoni kwa mwanamme mwingine? Tena usikute hata yeye wakati mwi gine anawekewa mafuta kwenye gari!Kombora za Gerry hazistahimiliki mkuu,inabidi walie lie tu maana hawana jinsi.
punguza jazba.Saudi unashangaa 2-0 ? Sasa ukikumbushwa kuwa zisha wahi kutundikwa 6-0 na 5-0 sii utazimia?
manara aka minara ya voda hamuwez muro.minara hana elimu,muro elimu ipo.haujasikia kuwa minara anakwenda polis kushtak?Hihihihihiiii na wakati huu mmepata kiboko yenu,Haji Manara na ujanja ujanja wake wote kafyata mkia kwa Muro,imebidi nyie ndio muanze kulia lia kwenye social media.