Yaani wanaume wa tzania wana majelous hatari.Furaha yako ni kwa kuwa nafasi yake unachukua wewe? Kushangilia jambo baya lililompata mwanadamu mwenzako ni uchawi kama uchawi mwingine! Lets grow wazee!!
Kwani mleta uzi umemuelewa dada???Sijawai kuona watu wana wivu kama wanaume.
Yaani mwenzake asipate.ndo maana ushirikina hauishi nchi hii full kulogana.
Kwani akipata shida wewe unafaidi nini??
Tafuta hela wewe.ungekuwa na hela cheo cha ukuu wa wilaya ni mambo madogo sana wala usingeona ni issue.
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Kuna kitu anawakilisha nyinyi hamjamuelewa tu
Acheni wivu na roho mbayaKuna kitu anawakilisha nyinyi hamjamuelewa tu
You nailed it Mamaa, ukiwa na pesa huna limitations as long as huvunji sheria!!!Tafuta hela wewe.ungekuwa na hela cheo cha ukuu wa wilaya ni mambo madogo sana wala usingeona ni issue
Kipi ambacho mwenzetu umeelewa?Kuna kitu anawakilisha nyinyi hamjamuelewa tu
Majungu ya kietroniki kaka kwa braza jei!!!!Eti atafulia arudi maskani posta!!!Kipi ambacho mwenzetu umeelewa?
Hujamuelewa tu dada!!!Huyu jamaa
Kama ilivyokawa kwa SHAKA.Mwakani utashangaa ni rc dsm,hapo ndio utakumbuka yale maneno ya"wapendeni adui zenu"maana Mungu hatoki ukoo wenu,na CCM sio binamu yenu[emoji38][emoji38][emoji38]
Humjui vizuri huyu. Tunza maneno haya.Leo nimekumbuka kipindi chako kilikuwa ITV sikumbuki jina kipindi kile ukifichua fichua mpaka wakakutia disprini.
Baadae ukaibuka Yanga nako ukawa DJ kushunundu.riziki si mwajuma japo wote ni waislamu ukaja kupata ukuu wa wilaya.
Bwana Jerry Murro una kismart sana ila mda mwengine kuto nilipokujua ulikuwa unajiona umekamilika wakati sisi ndio wenzako watu wa kawaida.
Vijana wengi tunakuwa tuna kasi kushinda malikia wa sheba.
Leo na kusalimia utakuwepo pale posta mpya kijiweni mchana