Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kama anaringia mafanikio yake, muache aringe. Mafanikio huwa hayaji hivihivi. Ni kwamba mtu ameyaandaa kwa uchakarikaji wake. Hususani kwa mtu kama Jerry Muro ambaye hana God Father Yanga au CCM. Labda pale ITV ungeweza kusema Mengi ni Mchagga mwenzie, lakini kwa Yanga na CCM sijawahi kumsikia kigogo yoyote kwenye taasisi hizo anayeitwa Muro.Leo nimekumbuka kipindi chako kilikuwa ITV sikumbuki jina kipindi kile ukifichua fichua mpaka wakakutia disprini.
Baadae ukaibuka Yanga nako ukawa DJ kushunundu.riziki si mwajuma japo wote ni waislamu ukaja kupata ukuu wa wilaya.
Bwana Jerry Murro una kismart sana ila muda mwengine nilipokujua ulikuwa unajiona umekamilika wakati sisi ndio wenzako watu wa kawaida.
Vijana wengi tunakuwa tuna kasi kushinda malikia wa sheba.
Leo na kusalimia utakuwepo pale posta mpya kijiweni mchana
Hivi hili nalo ni jambo la kufurahia!?,au mna ugomvi binafsi?
Je kesho ukisikia kawa mkuu wa mkoa?
Halafu utawasikia ooh WANAWAKE hawapendani..Sijawai kuona watu wana wivu kama wanaume.
Yaani mwenzake asipate.ndo maana ushirikina hauishi nchi hii full kulogana.
Kwani akipata shida wewe unafaidi nini??
Tafuta hela wewe.ungekuwa na hela cheo cha ukuu wa wilaya ni mambo madogo sana wala usingeona ni issue.
Jelly mlo kaliwa kichwa... I hope akaunti yake benki inasoma... Kinyume na hapo, atapigika sana huku kitaa...
HehehLabda mkoa wa kaskazini unguja
Majungu ya kielektroniki 😂😂😂Soma
Majungu ya kietroniki kaka kwa braza jei!!!!Eti atafulia arudi maskani posta!!!
Ashawahi kuja hapa Posta umachingani kwetu kusapoti harakati kwa kununua kwa machinga wenzangu. Vyeo vya kisiasa si vya kujivunia sana ila natumaini hatatoka nje ya reli.Leo nimekumbuka kipindi chako kilikuwa ITV sikumbuki jina kipindi kile ukifichua fichua mpaka wakakutia disprini.
Baadae ukaibuka Yanga nako ukawa DJ kushunundu.riziki si mwajuma japo wote ni waislamu ukaja kupata ukuu wa wilaya.
Bwana Jerry Murro una kismart sana ila muda mwengine nilipokujua ulikuwa unajiona umekamilika wakati sisi ndio wenzako watu wa kawaida.
Vijana wengi tunakuwa tuna kasi kushinda malikia wa sheba.
Leo na kusalimia utakuwepo pale posta mpya kijiweni mchana