Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa jamani watanzania mmefikia hata hamtaki kusalimiwa !Sijawai kuona watu wana wivu kama wanaume.
Yaani mwenzake asipate.ndo maana ushirikina hauishi nchi hii full kulogana.
Kwani akipata shida wewe unafaidi nini??
Tafuta hela wewe.ungekuwa na hela cheo cha ukuu wa wilaya ni mambo madogo sana wala usingeona ni issue.
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Mkuu Chizcom:Leo nimekumbuka kipindi chako kilikuwa ITV sikumbuki jina kipindi kile ukifichua fichua mpaka wakakutia disprini.
Baadae ukaibuka Yanga nako ukawa DJ kushunundu.riziki si mwajuma japo wote ni waislamu ukaja kupata ukuu wa wilaya.
Bwana Jerry Murro una kismart sana ila mda mwengine kuto nilipokujua ulikuwa unajiona umekamilika wakati sisi ndio wenzako watu wa kawaida.
Vijana wengi tunakuwa tuna kasi kushinda malikia wa sheba.
Leo na kusalimia utakuwepo pale posta mpya kijiweni mchana
Sema tu umenimiss bnaSasa jamani watanzania mmefikia hata hamtaki kusalimiwa !
Ohoooo !!!
Wewe demu kumbe upogo humu kati. Habari ya masiku.Sijawai kuona watu wana wivu kama wanaume.
Yaani mwenzake asipate.ndo maana ushirikina hauishi nchi hii full kulogana.
Kwani akipata shida wewe unafaidi nini??
Tafuta hela wewe.ungekuwa na hela cheo cha ukuu wa wilaya ni mambo madogo sana wala usingeona ni issue.
RC ajaye.
Usichanganya katia ya Uvulana na Uanaume,mleta mada ni Mvulana,Wanaume hatupo hivyo.Sijawai kuona watu wana wivu kama wanaume.
Yaani mwenzake asipate.ndo maana ushirikina hauishi nchi hii full kulogana.
Kwani akipata shida wewe unafaidi nini??
Tafuta hela wewe.ungekuwa na hela cheo cha ukuu wa wilaya ni mambo madogo sana wala usingeona ni issue.
Labda mkoa wa kaskazini ungujaMkuu wa mkoa ajaye huyo
Sijawai kuona watu wana wivu kama wanaume.
Yaani mwenzake asipate.ndo maana ushirikina hauishi nchi hii full kulogana.
Kwani akipata shida wewe unafaidi nini??
Tafuta hela wewe.ungekuwa na hela cheo cha ukuu wa wilaya ni mambo madogo sana wala usingeona ni issue.
Jerry Muro awe au asiwe Mkuu wa MKOA/Wilaya haijawahi kukuongezea wala kukupunguzia kitu.
Hebu tupiganie KATIBA mpya itakayoleta MAGAVANA wa kuchaguliwa na kuondokana na TEUZI hizi za kina Muro..
We should HATE the SYSTEM not WATEULIWA...