Jerry Silaa amepwaya Wizara ya Habari? Sasa aamua kuzindua miradi ya Maji, Vituo vya Afya na Chuo cha ufundi Mkalama ambazo si za Wizara yake!

Jerry Silaa amepwaya Wizara ya Habari? Sasa aamua kuzindua miradi ya Maji, Vituo vya Afya na Chuo cha ufundi Mkalama ambazo si za Wizara yake!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Sehemu yenye mfumo rasmi ndio kipimo tosha cha umahiri. Leo nimeona habari kwamba Jerry Silaa alikuwa ana ziara jimbo la Mkalama kuzindua mradi wa maji, kituo cha afya, na chuo cha ufundi jimbo la Nkalama.

Najua kwamba Wizard hizo zina miradi mingi kiasi kwamba ni ngumu kwa mawaziri wake kutembelea kila mradi. Na kwa kasi ya awamu ya sita, inaweza kuhitaji waziri atumie miaka miwili mpaka mitano mfululizo kumaliza miradi yote.

Mini kimemkumba Jerry? Wizara imekuwa fupa gumu kwa kuwa haina na haitaki porojo? Katika Wizara yake ya zamani alishauriwa aunde mifumo, yeye akawa bize kukata mitaa na kamera na kuwapa wananchi matumaini hewa.
 
Sasa kwanini mkamtoa ardhi
Alikuwa anatembelea Mikocheni, Masaki, Mbezi Beach, Mbweni, Kariakoo, Arusha, Mwanza, Dodoma, tukajua kuna namna. Mbona hafiki Tandahimba, Chankende, Imalamasala, masalakulangwa, na katika migogoro ya hifadhi na wananchi
 
Nani waziri wa ardhi sasa? Utendaji wake upoje?
Kitaalamu sana.....anajua jambo la ardhi ukilivuruga umevuruga nchi. Kwa mfano kule Bagamoyo, Silaa kaingilia jambo lililoisha mahakamani, akadanganya watu kwamba anapatanisha, hakuna maandishi ya kupatana wahusika, na upande wa pili una hukumu unataka kuwatumua waliopo.
 
583BDC48-E931-46CA-A03F-ADA0D2F0160A.jpeg


Atembelee vituo vya radio na tv...

Juzi kazindua barabara, nikasema ni sawa sababu ni waziri wa mawasiliano sijui na habari maana barabara ni njia ya mawasiliano...

Kazindua mradi wa maji nikasema labda maji nayo yana wasiliana na watumiaji au ni sehemu ya habari kuwa huku maji yanatoka

Ila kwa kuwa ni kiongozi wa serikali na miradi ni ya serikali hivyo hakuna tatizo katika uzinduzi! Unaombwa tu kwa heshima uliyonayo na wadhifa wako kuzindua
 
Musiww wapuuzi,,Rais aliwasaini mawa,iri wote kuwa n amkoa mmoja kuuyembelea na kukagua na kuzindua mirafi ya mkoa aliopangia..Mfano mavunde alikuwa chato kukagua Barbara na uje zi wa vyuo na akaahidi kwamba chato I aje gwa ili ikifika standard za kuwa mkoa basi suala la kuajdili chato iwe makao makuu ya mkoa itarudi
 
Huwezi ukawa Bora Kila sehemu ila wizara ya ardhi kaiweza alikuwa anafuata nyayo za mh.Lukuvi
Jiulize kidogo huyo Lukuvi sasa hivi yupo wapi? Jerry naye yupo wapi zaidi ya kufuata nyayo za Lukuvi, Silaa yupo Mawasiliano lakini wenye mawasiliano yao wamekaa pembeni na akileta zake za Ardhi wanafanya kweli!
 
Jiulize kidogo huyo Lukuvi sasa hivi yupo wapi? Jerry naye yupo wapi zaidi ya kufuata nyayo za Lukuvi, Silaa yupo Mawasiliano lakini wenye mawasiliano yao wamekaa pembeni na akileta zake za Ardhi wanafanya kweli!
Kwahiyo mtu akifanya vizuri mahali fulani akaondolewa unaona ni sifa kwasababu kuna watu nyuma ya hizo wizara!?, na hapo umeona umetetea kitu cha maana!?.., kwa akili hizi kuna uwezekano CCM kikawa chama tawala hata miaka 100 ijayo.
 
Back
Top Bottom