brother aloy
Member
- Nov 20, 2014
- 22
- 4
Mahanga si ndo kazira na kuhamia Chadema?
Uchaguz mdogo jimbo la ukonga utarudiwa apo kesho kutokana na wakwanza kugubikwa na rushwa.
huyo slaa aende akagombee kwao uchagani
huyo slaa aende akagombee kwao uchagani
Uchaguz mdogo jimbo la ukonga utarudiwa apo kesho kutokana na wakwanza kugubikwa na rushwa.
Hivi wewe unajitambua kweli?
Kwa nini Jerry Slaa tu? Kwani watu wengine hawawezi kuwa viongozi?Jerry slaa this is your time
Ni zaidi ya majanga2015 huenda ulikuwa Mwaka Mgumu zaid Kwa Jerry
Alipoteza u Mayor, udiwani na Baba Mzazi