Akaitoe lake oil pale oysterbayKama wana akili Wakiyarudisha yawe maeneo ya mapumziko na jogging [emoji2089]
Yaani kuna majitu yenye kadi yamejigawiwa mpaka maeneo ya polisi
Shame on you guys
Anataka kuosha jina kwa kukomoa watu?Kati ya viumbe watakaotaka kuosha jina ni huyu slaa, alitamani sana ubunge, lengo afike hapo alipo sasa (uwaziri)...
Bado hamjamjua vizuri mbunge wangu huyu... Namjua tangu akiwa Meya wa ilala, na nje(maisha yake binafsi nje ya Siasa)
Jerry huyu huyu ...!
Bado sinema ndio kwanza inaanza!....
Vuta kiti ukae swahiba ... Maana yajayo..... Yanafurahisha.
Kwahiyo anataka kuwaondoa kwenye maeneo hayo baadae ahodhi yeye?Hivi mnajua ya kwamba hii ni Moja ya wizara 8 zenye umate umate(fweza) ukiiacha zile zilizoko Frontline!?
Uzuri wa hii wizara Huwa haitolewi macho saana (haimulikwi)
Ila hela iko huku! Na hela nzuri ni ile inayo patikana kwenye eneo ambalo watu hawalitolei macho sana, kama hii wizara.
Ngoja tuone maana umekuja na matamko mengi sana.
-
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa, amewataka waliovamia maeneo ya wazi kuanza kuondoka mara moja huku akiwaelekeza viongozi na watendaji wa wizara hiyo, wenye mamlaka ya kusimamia sheria kuhakikisha ndani ya siku 100 maeneo hayo yanakuwa wazi.
Silaa ameyasema hayo wakati akizumgumza na Menejimenti ya Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mara baada ya kukabidhiwa ofisi na mtangulizi wake, Dkt. Angeline Mabula, ambapo pia amewataka watendaji kuhakikisha wanatatua migogoro ya ardhi ndani ya siku 100.
Hakuna jipya chini ya CCM unakuta wavamizi ni Ma cccm na wenye madaraka,je atawafurusha nayeye teuzi itenguliwe?Ngoja tuone maana umekuja na matamko mengi sana.
-
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa, amewataka waliovamia maeneo ya wazi kuanza kuondoka mara moja huku akiwaelekeza viongozi na watendaji wa wizara hiyo, wenye mamlaka ya kusimamia sheria kuhakikisha ndani ya siku 100 maeneo hayo yanakuwa wazi.
Silaa ameyasema hayo wakati akizumgumza na Menejimenti ya Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mara baada ya kukabidhiwa ofisi na mtangulizi wake, Dkt. Angeline Mabula, ambapo pia amewataka watendaji kuhakikisha wanatatua migogoro ya ardhi ndani ya siku 100.
AKuna vituo vingi vya mafuta vimejengwa maeneo ya wazi. Sasa wakivibomoa si mafuta yatakuuguza mwenyewe mhe. waziri. Au sijaeleweka.
Hiyo inaitwa ... Funika kombe... Mwanaharamu apite...Kwahiyo anataka kuwaondoa kwenye maeneo hayo baadae ahodhi yeye?
Kwa akili yake anafikiri hayo maeneo yapo chini ya wanyonge ?What if moja ya eneo nyuma yake wapo Kinana,JK
Aanze na fuel filling stations zote zilizoibuka ghafla kwenye road reserves katika mji wa Dar hasa along Morogoro road baada tuu ya JPM kuondoka Duniani.
anataka watoke ili yeye acheze deal ya kuzi kwapua hizo ardhi
Hapo ndio tunapindisha kona
Hata mm namjua TIRIMA, ni tatizo kubwa sanaKati ya viumbe watakaotaka kuosha jina ni huyu slaa, alitamani sana ubunge, lengo afike hapo alipo sasa (uwaziri)...
Bado hamjamjua vizuri mbunge wangu huyu... Namjua tangu akiwa Meya wa ilala, na nje(maisha yake binafsi nje ya Siasa)
Jerry huyu huyu ...!
Bado sinema ndio kwanza inaanza!....
Vuta kiti ukae swahiba ... Maana yajayo..... Yanafurahisha.
Kijani wenyewe hao wamechukua maeneo mengi ya waziKama wana akili Wakiyarudisha yawe maeneo ya mapumziko na jogging [emoji2089]
Yaani kuna majitu yenye kadi yamejigawiwa mpaka maeneo ya polisi
Shame on you guys
Anachekesha sanaKwa akili yake anafikiri hayo maeneo yapo chini ya wanyonge ?What if moja ya eneo nyuma yake wapo Kinana,JK