Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzushi huyo achana naeKampa onyo wapi?
Mleta mada ni ALEX MSAMAWatu wale matapeli wa ardhi mnawatetea ehh
Mitanzania haijui inataka nini kwa style hyo ccm itazidi kuwaburuza
Ova
aka Msama Promotion aka Joka la makengeza. 🐍Mleta mada ni ALEX MSAMA
Msama punguza ujinga basiUtaelewa tu
Matapeli ya viwanja ndio mnapojifichia hapo pumbavuTunasubiri afutwe kazi au ahamishwe wizara, tunataka waziri anayeheshimu utawala wa sheria, ni aibu mtu wa ngazi ya waziri kutokuwa na ABC za mfumo wa sheria za nchi
Natamani lukuvi na silaa wangefanya pamoja, mmoja waziri kamili mmoja naibuLukuvi aliacha pengo kubwa na hakuna wa kuliziba
We jamaaa lijingaaa sana ....Dah....mama anaupiga mwingi, kwa hiyo Jerry kapewa onyo tu, huyu naye ni wa kufukuza, ila bado tunasubiri muda, maana njia yake anaiwekea miba kwa juhudi kubwa sana. Anguko lake haliko mbali.
Mama anatoaga second chance.
Wakili msomi Jerry SilaaTunasubiri afutwe kazi au ahamishwe wizara, tunataka waziri anayeheshimu utawala wa sheria, ni aibu mtu wa ngazi ya waziri kutokuwa na ABC za mfumo wa sheria za nchi
Ni kweli kabisa, waburuzwe tu mpaka wawe vibogoyo. Hili taifa ukiwa kiongozi mkweli na mtendaji wa haki majizi yatakuundia zengwe hata kukuua usipokuwa smart.Watu wale matapeli wa ardhi mnawatetea ehh
Mitanzania haijui inataka nini kwa style hyo ccm itazidi kuwaburuza
Ova
Kuna 🌹 Mhando 🐼Hama wakili hapo, boksi tupu