Juzi alikuwa mwanza kurudisha eneo la shule, mgogoro ambao wananchi wanadai walishaufikisha kwa mkuu wa mkoa bila ya kuchukua hatua.
Mkeka umetoka, Makala nje shauri zako acha utapeli wa viwanja huko hakufai nyakati hizi. Keshakwambia katumwa na boss wake uelewi tu somo.