Jerry Silaa na Daganya Toto kwenye ujenzi wa Vituo vya Mafuta

Jerry Silaa na Daganya Toto kwenye ujenzi wa Vituo vya Mafuta

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Mara zote huwa nasema CCM bado wanaendelea na siasa za koshamba sana. Wana mbinu amabazo hata mtoto wa darasa la pili lazima ajue kafungwa kamba.

Jerry slaa anataka kutuaminisha kwamba tatizo la ujenzi holela la vituo vya mafuta lilikuwa ni tatizo la wazori husika siyo serikali jambo ambalo ni uongo wa mchana kweupe.


Ujenzi wa vituo vya mafuta watu tulilalamila sana hapa kwamba vinafutana kama maduka ya nguo no body cared na vikaendelea kumiminwa tu.

Kama kweli yuko serious hivi vituo vyote viliyojengwa inje ya utaraibu vibomlewe vyote maana havijafuata sheria na vinahatarisha maisha ya watu.
 
Mara zote huwa nasema CCM bado wanaendelea na siasa za koshamba sana. Wana mbinu amabazo hata mtoto wa darasa la pili lazima ajue kafungwa kamba.

Jerry slaa anataka kutuaminisha kwamba tatizo la ujenzi holela la vituo vya mafuta lilikuwa ni tatizo la wazori husika siyo serikali jambo ambalo ni uongo wa mchana kweupe.


Ujenzi wa vituo vya mafuta watu tulilalamila sana hapa kwamba vinafutana kama maduka ya nguo no body cared na vikaendelea kumiminwa tu.

Kama kweli yuko serious hivi vituo vyote viliyojengwa inje ya utaraibu vibomlewe vyote maana havijafuata sheria na vinahatarisha maisha ya watu.
Humeleta abali muzuli ya jerry silaha ni hukuweli fituo ya mafuta himejenguwa kihorera.
 
Mara zote huwa nasema CCM bado wanaendelea na siasa za koshamba sana. Wana mbinu amabazo hata mtoto wa darasa la pili lazima ajue kafungwa kamba.

Jerry slaa anataka kutuaminisha kwamba tatizo la ujenzi holela la vituo vya mafuta lilikuwa ni tatizo la wazori husika siyo serikali jambo ambalo ni uongo wa mchana kweupe.


Ujenzi wa vituo vya mafuta watu tulilalamila sana hapa kwamba vinafutana kama maduka ya nguo no body cared na vikaendelea kumiminwa tu.

Kama kweli yuko serious hivi vituo vyote viliyojengwa inje ya utaraibu vibomlewe vyote maana havijafuata sheria na vinahatarisha maisha ya watu.
Acha roho ya kimaskini wewe unataka Tukaweke Mafuta wapi Gari inaishiwa Mafuta kariakoo twende Mlandizi au Kisarawe. Vituo vya mafuta tunaona kwenye Nchi zilizoendelea vipo sambamba na Supermarket na Mall kubwa sasa hicho mnachalalamikia mnakitoa wapi?.
 
Mara zote huwa nasema CCM bado wanaendelea na siasa za koshamba sana. Wana mbinu amabazo hata mtoto wa darasa la pili lazima ajue kafungwa kamba.

Jerry slaa anataka kutuaminisha kwamba tatizo la ujenzi holela la vituo vya mafuta lilikuwa ni tatizo la wazori husika siyo serikali jambo ambalo ni uongo wa mchana kweupe.


Ujenzi wa vituo vya mafuta watu tulilalamila sana hapa kwamba vinafutana kama maduka ya nguo no body cared na vikaendelea kumiminwa tu.

Kama kweli yuko serious hivi vituo vyote viliyojengwa inje ya utaraibu vibomlewe vyote maana havijafuata sheria na vinahatarisha maisha ya watu.
Ni hatari sana aina ya hayo mabomu ya baadae
 
Mara zote huwa nasema CCM bado wanaendelea na siasa za koshamba sana. Wana mbinu amabazo hata mtoto wa darasa la pili lazima ajue kafungwa kamba.

Jerry slaa anataka kutuaminisha kwamba tatizo la ujenzi holela la vituo vya mafuta lilikuwa ni tatizo la wazori husika siyo serikali jambo ambalo ni uongo wa mchana kweupe.


Ujenzi wa vituo vya mafuta watu tulilalamila sana hapa kwamba vinafutana kama maduka ya nguo no body cared na vikaendelea kumiminwa tu.

Kama kweli yuko serious hivi vituo vyote viliyojengwa inje ya utaraibu vibomlewe vyote maana havijafuata sheria na vinahatarisha maisha ya watu.
Anacheza na Moto. Aulize Nani mfanyabiashara mkubwa wa mafuta Kwa sasa kabla ya kutafuta kiki
 
Acha roho ya kimaskini wewe unataka Tukaweke Mafuta wapi Gari inaishiwa Mafuta kariakoo twende Mlandizi au Kisarawe. Vituo vya mafuta tunaona kwenye Nchi zilizoendelea vipo sambamba na Supermarket na Mall kubwa sasa hicho mnachalalamikia mnakitoa wapi?.
Mkuu umeshasema Nchi zilizoendelea ambazo zina HYDRANT kila kona moto ukitokea hata wewe unajigeuza zimamoto na maisha yanaenda, Wana Ndege na Magari ya kuzima moto. Nenda hapo Tabata Mawezi kuna vituo 3 vya mafuta vimefuatana imagine moto uwake na hawa fire wetu wasio na Vifaa hayo maaaafa itakuaje?
Tusibeze mipango inayotaka angalau kituo hadi kituo iwe 500M au Km 2 nk kwa kwa lengo jema la kujikinga na maafa wakati wa dhahama.
 
Acha roho ya kimaskini wewe unataka Tukaweke Mafuta wapi Gari inaishiwa Mafuta kariakoo twende Mlandizi au Kisarawe. Vituo vya mafuta tunaona kwenye Nchi zilizoendelea vipo sambamba na Supermarket na Mall kubwa sasa hicho mnachalalamikia mnakitoa wapi?.
Wewe ndiyo maskini unayeweka mafuta ya 200
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Jamani mkubwa anataka watu wenye vituo na wanaotegemea kuanza ujenzi wakamuone akili za kuambiwa changanya na za kwako .
 
Jerry Slaa na Nape ki upeo ni sawa kabisa. Wote wanafikiria kwa kutumia matumbo yao ni bonge moja la bogus.

Waliompa wizara ndio wamiliki wakuu wa petrol stations za mitaani (Lake Oil=Msoga). Sasa kama amesema kwa kumaanisha akae akijua kuwa hatodumu.
 
Hawa wanaojenga kwenye road reserve ya kimara to kibaha road nashindwa kuelewa wanapata wapi hiyo dare.
 
Mara zote huwa nasema CCM bado wanaendelea na siasa za koshamba sana. Wana mbinu amabazo hata mtoto wa darasa la pili lazima ajue kafungwa kamba.

Jerry slaa anataka kutuaminisha kwamba tatizo la ujenzi holela la vituo vya mafuta lilikuwa ni tatizo la wazori husika siyo serikali jambo ambalo ni uongo wa mchana kweupe.


Ujenzi wa vituo vya mafuta watu tulilalamila sana hapa kwamba vinafutana kama maduka ya nguo no body cared na vikaendelea kumiminwa tu.

Kama kweli yuko serious hivi vituo vyote viliyojengwa inje ya utaraibu vibomlewe vyote maana havijafuata sheria na vinahatarisha maisha ya watu.
Aje abomoe hiki cha kimara stop over afu tuone
 
Hawa wanaojenga kwenye road reserve ya kimara to kibaha road nashindwa kuelewa wanapata wapi hiyo dare.
Hapo ndo huwa nachoka kabisa watu walibomolewa nyumba Kwa ajili ya road reserve Leo zinajengwa shell kila uchao kweli hii ni haki?
Kama ni hivyo mruhusu na wananchi warudi maeneo yao sio upendeleo kwamba
MWENYE NACHO ATAONGEZEWA NA ASIYE NACHO HATA KILE KIDOGO ATANYANG'ANYWA
Sio sawaaa
 
Mara zote huwa nasema CCM bado wanaendelea na siasa za koshamba sana. Wana mbinu amabazo hata mtoto wa darasa la pili lazima ajue kafungwa kamba.

Jerry slaa anataka kutuaminisha kwamba tatizo la ujenzi holela la vituo vya mafuta lilikuwa ni tatizo la wazori husika siyo serikali jambo ambalo ni uongo wa mchana kweupe.


Ujenzi wa vituo vya mafuta watu tulilalamila sana hapa kwamba vinafutana kama maduka ya nguo no body cared na vikaendelea kumiminwa tu.

Kama kweli yuko serious hivi vituo vyote viliyojengwa inje ya utaraibu vibomlewe vyote maana havijafuata sheria na vinahatarisha maisha ya watu.
Hivyo vituko vyenyewe wamiliki wake SI ndio hao hao wanasiasa?
 
Nyie atalia huyu mkimsema sema si unakumbuka barabara alivyotungua kilio shauri yenu.
 
Mara zote huwa nasema CCM bado wanaendelea na siasa za koshamba sana. Wana mbinu amabazo hata mtoto wa darasa la pili lazima ajue kafungwa kamba.

Jerry slaa anataka kutuaminisha kwamba tatizo la ujenzi holela la vituo vya mafuta lilikuwa ni tatizo la wazori husika siyo serikali jambo ambalo ni uongo wa mchana kweupe.


Ujenzi wa vituo vya mafuta watu tulilalamila sana hapa kwamba vinafutana kama maduka ya nguo no body cared na vikaendelea kumiminwa tu.

Kama kweli yuko serious hivi vituo vyote viliyojengwa inje ya utaraibu vibomlewe vyote maana havijafuata sheria na vinahatarisha maisha ya watu.
Kile kinajengwa pale luguluni , kiluvya madukani, pale kinara stop over 😆😆.
Nimevujisha possible saa akaanze navyo
 
Back
Top Bottom