Jerry Silaa na Daganya Toto kwenye ujenzi wa Vituo vya Mafuta

Jerry Silaa na Daganya Toto kwenye ujenzi wa Vituo vya Mafuta

Kuna maslahi fulani anatafuta au kuna mtu anamtafuta aliewekeza sana kwenye vituo hivyo (shareholders) kwenye wauzaji wakubwa

Huwa tuna tabia ya kuzunguka saanaa lakini maana ni zile zile

Kwa njaa za Africa, bado miaka mingi sana kuwa mataifa ya kujitegemea na kuachana na ombaomba kwa tamaa za wachache

Ogopa mtu anaeongea kiswahili na kuchomekea maneno ya kizungu huku akijua fika anaowasemesha hawajui hata neno moja huwa nawaona ni washamba tu na ........
 
Mara zote huwa nasema CCM bado wanaendelea na siasa za koshamba sana. Wana mbinu amabazo hata mtoto wa darasa la pili lazima ajue kafungwa kamba.

Jerry slaa anataka kutuaminisha kwamba tatizo la ujenzi holela la vituo vya mafuta lilikuwa ni tatizo la wazori husika siyo serikali jambo ambalo ni uongo wa mchana kweupe.


Ujenzi wa vituo vya mafuta watu tulilalamila sana hapa kwamba vinafutana kama maduka ya nguo no body cared na vikaendelea kumiminwa tu.

Kama kweli yuko serious hivi vituo vyote viliyojengwa inje ya utaraibu vibomlewe vyote maana havijafuata sheria na vinahatarisha maisha ya watu.
Aache blah blah

Wawalipe jamaa wa kipunguni pesa

Zao tu

Ova
 
Back
Top Bottom