Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna maslahi fulani anatafuta au kuna mtu anamtafuta aliewekeza sana kwenye vituo hivyo (shareholders) kwenye wauzaji wakubwa
Huwa tuna tabia ya kuzunguka saanaa lakini maana ni zile zile
Kwa njaa za Africa, bado miaka mingi sana kuwa mataifa ya kujitegemea na kuachana na ombaomba kwa tamaa za wachache
Ogopa mtu anaeongea kiswahili na kuchomekea maneno ya kizungu huku akijua fika anaowasemesha hawajui hata neno moja huwa nawaona ni washamba tu na ........
Huwa tuna tabia ya kuzunguka saanaa lakini maana ni zile zile
Kwa njaa za Africa, bado miaka mingi sana kuwa mataifa ya kujitegemea na kuachana na ombaomba kwa tamaa za wachache
Ogopa mtu anaeongea kiswahili na kuchomekea maneno ya kizungu huku akijua fika anaowasemesha hawajui hata neno moja huwa nawaona ni washamba tu na ........