johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Acha kumharibia mwenzio uwazifi unamfaa na kumtoshaaHuyu jamaa ukimtazama haraka haraka unaweza kumchukulia poa Ila spiritual na kiuzalendo yuko vizuri kuliko Mawaziri wote nadhani
Mungu wa Mbinguni azidi kumpa Ujasiri π
Sabato endelevu njema!
Huyu huyu aliekuwa anasimama kwenye majukwaa kudanganya Watanganyika kuhusu mkataba wa kudhulumu Maliasili (Bandari) za nchi kwa wageni? Hiki ni kipimo tosha cha ku-disqualify kwenye issue yeyote inayohusu Uongozi. Kwa kifupi ni msaliti na kwenye taifa lolote makini alitakiwa awe gerezani.Huyu jamaa ukimtazama haraka haraka unaweza kumchukulia poa Ila spiritual na kiuzalendo yuko vizuri kuliko Mawaziri wote nadhani
Mungu wa Mbinguni azidi kumpa Ujasiri π
Sabato endelevu njema!
Msije kumtengenezea ajali naye kama ilvyokuwa kwa baba yake maana hamuaminiki nyieHuyu jamaa ukimtazama haraka haraka unaweza kumchukulia poa Ila spiritual na kiuzalendo yuko vizuri kuliko Mawaziri wote nadhani
Mungu wa Mbinguni azidi kumpa Ujasiri π
Sabato endelevu njema!
Ndugu yangu Jerry anasomesha watoto wangapi wa jimboni kwake ? Jerry amenunua nguzo ngapi za umeme kwa hela yake kwa ajili ya jimbo lake ? Jerry ametengeneza bara bara ngapi kwa hela yake mwenyewe jimboni mwake ? Jerry amejenga Zahanati na shule ngapi kwa hela yake mwenyewe jimboni mwake ? Je Jerry ana ofisi ya mbunge na ana katibu wa mbunge anayemlipa kwa hela zake mwenyewe jimboni mwake ? Hakuna mbunge anaweza kumfikia Filikunjombe na Ndesamburo hawa hawakuingia katika siasa kwa ajili ya njaa. Hii hapa chini ni video ya filikunjombe hadi wapinzani walimpitisha. Just imagine mpaka chadema na cuf wanakupigia kampeni na kukubali.Huyu jamaa ukimtazama haraka haraka unaweza kumchukulia poa Ila spiritual na kiuzalendo yuko vizuri kuliko Mawaziri wote nadhani
Mungu wa Mbinguni azidi kumpa Ujasiri π
Sabato endelevu njema!
Watu wa ukonga nyonga zimekata, barabara zimejaa mahandaki kama jimbo limetoka vitani, sasa hivi anapambana kukusanya hela kwa matajiri kama akina sauli apate walau milioni 500 za kampeni, sehemu nyingine anapata, kama kwa msama alipata kidogo, kampotezea issue yake, yule mushi akagoma, akampa ya utakatishaji, wa kituo cha mafuta cha akina tibaijuka sasa hivi silaa ndiye anamsalimia akipiga magotiHuyo kuna kitu anakitafuta ndio maana anajifanya mchapakazi
Hana lolotee..! Waulize wana ukonga watakuambia
Shallow thinking. haya anayoyafanya can be challenged in a court of law and the original situation restored................ CCM ikiondoka madarakani kwa mfano, subject to time limitation, mtu aliyenyanganywa nyumba yake kwa mabavu ya Slaa anakwenda mahakamani.
Huyu Jerry Silaa ni Deo Filikunjombe mtupu, Mungu wa Mbinguni azidi kumpa Ujasiri atatufaa CCM 2030 Kwenye Urais!
Huyu jamaa ukimtazama haraka haraka unaweza kumchukulia poa Ila spiritual na kiuzalendo yuko vizuri kuliko Mawaziri wote nadhani.
Mungu wa Mbinguni azidi kumpa Ujasiri. π
Sabato endelevu njema!