Pre GE2025 Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

Pre GE2025 Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Smart Gin hizo akili yako inaharibika unasema nn ukienda kuongea huo ujinga kivule na makofi utapigwa Kama anakununulia pombe kunywa Ila acha kuropoka....
Bishana kwa hoja mkuu
 
Nikiwa kama Mwana Ukonga na mwananchi ninaejua siasa za Ukonga naomba nikiri kwa niaba ya wana Ukonga kuwa tunamuhitaji Jerry kuliko kitu chochote.

Hii ni kwa mustakabali wa maisha yetu, kubali kataa jimbo la ukonga ni miongoni mwa majimbo magumu ila sisi tuliozaliwa ukonga tunajua chanzo kiini na suluhu, ikumbukwe kuwa jambo la Ukonga lipo Wilaya ya Ilala, wilaya ambayo ni kubwa yaani inaanzia kariakoo mpaka chanika pia imepakana na kisarawe mkoa wa pwani kwa miaka yangu yote ambayo nimeishi ukonga nimegundua changamoto zifuatazo mosi ni miundo mbinu.

Tatizo la miundo mbinu ni kubwa kuliko tunavyofikiri kwani wakati wa masika watu hulazimika kupanga vyumba mjini kuepuka changamoto za usafiri ambapo huwa hakufikiki hapa naongelea maeneo kama mbondole,viwege, magole chakenke nk kwa watu wasio na akili lawama hizi huwa wanamtupia mbunge.

Bila kujua historia ya jambo husika wala kujua taratibu za serikali na michakato ya kumpata mzabuni nk, sababu ya kuwaelekeza wana ukonga kwamba tunamuhitaji Jerry ni kwamba huyu jamaa amekuwa jikoni kwa muda mrefu tangu akiwa Naibu Meya baada ya hapo amekuwa mjumbe kamati kuu ya chama.

Yaani jikoni kabisa hii imepelekea mpaka Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amiri jeshi mkuu kumuamini na kumpa uwaziri katika wizara nyeti sana ya ardhi, wana ukonga Mungu atupe nini tena ukizingatia maeneo yote niliyoyataja hapo juu yana migogoro ya ardhi mpaka kupelekea baadhi ya maeneo kuitwa maeneo ya uvamizi.

Mimi nashauri tuendelee kumng'ang'ania huyu home boy kwani yeye ndiye atatuvusha na kutupeleka nchi ya ahadi sababu ukonga anaijua vizuri na pia a anaushawishi mkubwa hata kwa mkuu wa nchi na mamlaka zote, tusiache lulu hii ipotee.. kumbuka amepewa dhamana ya ardhi nchi nzima ya Tanzania.

Jimbo la Ukonga litakuwa tofauti baada ya muda mfupi sana.

Naomba kuwasilisha
Hili ndio tatizo la wanasiasa wengi wa Bongo walioferi wanadhani kuwanywesha Pombe wapumbavu kama huyu na kuwanunulia smartphone za promotion ndio wanasolve tatizo, kumbe ndio wanazidisha hasira watu.

Nina nyumba Italian Kigenzi nimehama Kule Kwa sababu ya barabara, thread za kula kulala kama huyu wacha tu nikae kimya, watu wa Ukonga wanajuwa cha kumfanya akithubutu kugombea tena.
 
Unajua historia ya moshi bar wewe? Angalia kwenye Town plan ile siyo residential area ile ni industrial area mmefosi mmejazana halafu wengine wakabadilisha Town plan serikali imeshindwa kubomoa nyumba zote na sasa mnaanza kumlaumu mbunge kwani yeye ndiyo mbunge wa kwanza huko kulikuwa na mama Marehem anaitwa Mwaiposa unamkumbuka? Ambaye aliwahi kuwambia wananchi wasimletee kero kwani hajashinda kwa kura haya alikuja Waitara akiwa chadema pia akaja Waitara akiwa CCM walifanya nini? Unataka Jerry atoe hela yake akujengee wewe barabara na umehamia huko industrial area kwa ufala wako...usinichafue ndugu
Kama tunaishi Industrial waambie Serikali waje wabomoe. Sifa za Jerry usihusishe na Ukonga. Labda ana sifa zake unazozijua wewe tena za Kipuuzi tu. Ni Waziri wa Ardhi tunamkaribisha aje abomoe
 
Hili ndio tatizo la wanasiasa wengi wa Bongo walioferi wanadhani kuwanywesha Pombe wapumbavu kama huyu na kuwanunulia smartphone za promotion ndio wanasolve tatizo, kumbe ndio wanazidisha hasira watu.

Nina nyumba Italian Kigenzi nimehama Kule Kwa sababu ya barabara, thread za kula kulala kama huyu wacha tu nikae kimya, watu wa Ukonga wanajuwa cha kumfanya akithubutu kugombea tena.
Mungu atupe uhai 2025 siyo mbali, ila ilikuwaje ukanunua sehemu haina barabara? Lawama kwa mbunge hapo zinakujaje? Kwa nini hukuenda kununua mitaa ambayo ina lami tayari narudia 75% ya ukonga haikuwa mahsusi kwa ajili ya makazi ya watu ndiyo maana huku kesi za uvamizi haziishi..unataka uwekewe barabara eneo la uvamizi? Au miye ndio sielewi
 
Kama tunaishi Industrial waambie Serikali waje wabomoe. Sifa za Jerry usihusishe na Ukonga. Labda ana sifa zake unazozijua wewe tena za Kipuuzi tu. Ni Waziri wa Ardhi tunamkaribisha aje abomoe
Miye labda sijui, jukumu la mbunge ni kutengeneza barabara? Au ni jukumu la tarura? Barabara zinatengenezwa kwa fungu lipi? Labda tuanzie hapo kabla ya kuanza lawama ..binafsi naishi viwege kwa mpemba mwaka wa 13 sasa kabla ya hapo nilikuwa naishi mzambarauni kwa miaka 10 na ni muathirika mzuri tu wa hizi barabara huwa inanilazimu kupanga chumba mjini ili niwahi kibaruani lakini sijawahi kuona kosa la mbunge kwani huku nilihamia mwenyewe kwa utashi wangu...na nilipokuja kugundua haya maeneo mengi ni ya uvamizi huwa naomba tu Mungu huruma ya serikali kwa wananchi wake lakini mbunge hahusiki na lawama zozote
 
Mkipewaga misaada na viongozi mtulie, sio kutia hasira watu.
Mxxxiiiiieeeew
Nenda kaishi mbezi kuna lami kila mtaa...huwezi ukaja sehemu ukaanzisha mji kisha unamlaumu mbunge on a personal capacity kwani yeye ndiye alikwambia uhamie huko....
Mkipewaga misaada na viongozi mtulie, sio kutia hasira watu.
Mxxxiiiiieeeew
 
Njaa mbaya sana
Njoo na hoja chief, ubovu wa barabara za mtaa ni suala la halmashauri la sehemu husika bora hata mara Mia lawama zingeelekezwa kwa diwani maana yeye huwa anapata fungu la maendeleo sasa mbunge kweli yaani unazungumzia mbunge...Jerry kama Jerry akili nyingi mtateseka sana
 
Ubovu wa barabara wakulamiwa ni madiwani katika halmashauti yako mzee mbunge hahusiki familiarise yourself with position descriptions za hawa watu kwanza
Hakuna kitu kibaya kama kukwepa respobilities, nashangaa inapokua ni negative issues kila MTU hataki kuwa accountable. Mbona Taifa Stars wakishinda games huwa mnapongeza Samia na sio kocha (ni mfano)! Leo barabara zikiwa mbovu ni za madiwani, zikiwa nzuri ni za Samia. Sawa jumapili njema
 
Mungu atupe uhai 2025 siyo mbali, ila ilikuwaje ukanunua sehemu haina barabara? Lawama kwa mbunge hapo zinakujaje? Kwa nini hukuenda kununua mitaa ambayo ina lami tayari narudia 75% ya ukonga haikuwa mahsusi kwa ajili ya makazi ya watu ndiyo maana huku kesi za uvamizi haziishi..unataka uwekewe barabara eneo la uvamizi? Au miye ndio sielewi
Huwa siquote post za kula kulala na wapumbavu kama wewe, Leo umebahatika Tu.

Uliza Kata ya Buyuni kwenye Jimbo la Ukonga uambiwe mpuuzi mkubwa wewe, mradi wa viwanja vya serikali upo Buyuni, na nyumba za Pspf zipo Buyuni.

JF iongeze vigezo vya kuruhusu watu wa kupost kwenye jukwaa la siasa, thread ipitiwe Kwanza na moderator kabla ya kuruhusu kupublish pumba kwenye forum.
 
Huwa siquote post za kula kulala na wapumbavu kama wewe, Leo umebahatika Tu.

Uliza Kata ya Buyuni kwenye Jimbo la Ukonga uambiwe mpuuzi mkubwa wewe, mradi wa viwanja vya serikali upo Buyuni, na nyumba za Pspf zipo Buyuni.

JF iongeze vigezo vya kuruhusu watu wa kupost kwenye jukwaa la siasa, thread ipitiwe Kwanza na moderator kabla ya kuruhusu kupublish pumba kwenye forum.
Matusi ya nini? Nyumba za pspf buyuni zinahusiana nini na hii post naomba TP namba ya project ya buyuni ambayo nadhani ni ya mwaka 2005 nikuonyeshe jinsi wavamizi mlivyo haribu mipango miji, kama huna nikusaidie ambapo kwa kifupi tu ni ile kesi ya hekari elfu tatu kati ya mwalimu Mbambo na wazee saba wakiwemo kina matangula yaani mmenunua maeneo mmeuziwa na wakurya mmenda kung'oa mawe kisha unakuja kutukana watu humu
 
Labda kwa haraka haraka nikusaidie maeneo ya uvamizi, yenye kesi au hukumu imeshatoka tayari ukitoka pugu sekondari baada ya kupita reli mkononwa kushoto kama unaelekea viwege yale maeneo yana mgogoro kitamboo na hukumu ishatoka tayari ikifika njia nne mbondole kama unaelekea ofisi za serikali ya mtaa hukumu imetoka na waliovunjiwa walivunjiwa ving'ang'anizi walibaki kuna eneo linaitwa uvikiuta pia greda lilipita ila kuna wabishi bado wapo ambao ndiyo wanakuja na matusi humu kudaibwanataka barabara ukifika mbondole kuna kesi kubwa ambayo imezimwa kisiasa kwa kuwataka wamiliki wa sasa walipe fidia ila kiukweli hii kesi itaibuka muda siyo mrefu kwani mh Lukuvi alipokuwa waziri wa ardhi alimaliza kwa hekima zake hapantunazungumzia kaya elfu tatu...binafsi nina mchoro wa kutoka ardhi wa maeneo yote haya ambapo unakuta jitu limejenga kwenye let say pb (public building) halafu ndiye wa kwanza kutukana viongozi eti anataka barabara
 
Back
Top Bottom