Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Kesi za mirathi na kesi zote za umiliki wa ardhi na majengo zimepata suluhu baada ya Mh Jerry Silaa kuongeza kasi ya kukomesha wale wote wanaosababisha mtafaruko ndani ya jamii
Mh raisi Samia tunakupongeza sana kwa kumpa Waziri wa ardhi cheo hiki hakika anakitendea kazi
Mh raisi bado tunahitaji watumishi shupavu kama Mh Makonda na Jerry Silaa
Tunaomba tupatie wakuu wa mikoa shupavu kama hawa wazalendo wa nchi kwani bado nchi yetu imejawa wananchi wasumbufu
Mh raisi Samia tunakupongeza sana kwa kumpa Waziri wa ardhi cheo hiki hakika anakitendea kazi
Mh raisi bado tunahitaji watumishi shupavu kama Mh Makonda na Jerry Silaa
Tunaomba tupatie wakuu wa mikoa shupavu kama hawa wazalendo wa nchi kwani bado nchi yetu imejawa wananchi wasumbufu