Huu unyonge kaka...pambana.Nimeona nikae mbali kama jinga vile mana nahisi harufu ya mahakamani inanukia
Siyo tishio,sema matapeli wengi wamejichomeka humo kwenye kuzulumu mali za Marehemu, na wengine wanauwa kabisa alafu anaanzisha mgogoro wa Aridhi na warithi just from know where!!Migogoro ya mirathi ni tishio