Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wabunge hakuna wanachoweza kufanya kwenye matatizo ya wananchi, kwanini Taifa linatumia gharama kubwa kuendesha Bunge na kuwalipa wabunge wenyewe. Na kwenye kampeni wanajinadi watafanya hili na lile ilhali wakijua kabisa wao hawana 'Bajeti'Yeye sio waziri wa ujenzi labda ungemcheki Bashungwa pia mbunge hama bajeti ya kujenga barabara. Kama una mgogoro wa ardhi mtafute atakusaidia.
Nini maana ya kuwa mwakilishi wa jimbo??Yeye sio waziri wa ujenzi labda ungemcheki Bashungwa pia mbunge hama bajeti ya kujenga barabara. Kama una mgogoro wa ardhi mtafute atakusaidia.
Umejuaje kama hajaongelea hiyo ishu kwa wahusika? Yeye kama yeye hawezi kujenga barabara kwa hela yake inategemea na bajeti n mipango ya nchi,barabara mbovu kama hizo zipo nchi nzima,na pia asiporudi jerry ni nani atakukija badala yake? Ndio atakuja kujenga hiyo barabara?Nini maana ya kuwa mwakilishi wa jimbo??
Hana budget, je hana hata sauti pia ya kuchangia bungeni kuhusu matatizo ya jimboni kwake??
Huyu mwamba akirudi tena bungeni basi hapo hakika CCM watadhihirisha kuwa ni miamba ya wizi wa kura.
Jerry Slaa ni zigo la kimba bungeni.
Huwezi kumtetea yaani jerry slaa akipata kula zaidi ya mke wake na wanae nitaamini CCM ni wezi waliopindukia. Tangu alipopata nafasi yaani hata bahati mbaya tu kupta hajawah.Umejuaje kama hajaongelea hiyo ishu kwa wahusika? Yeye kama yeye hawezi kujenga barabara kwa hela yake inategemea na bajeti n mipango ya nchi,barabara mbovu kama hizo zipo nchi nzima,na pia asiporudi jerry ni nani atakukija badala yake? Ndio atakuja kujenga hiyo barabara?
okUmejuaje kama hajaongelea hiyo ishu kwa wahusika? Yeye kama yeye hawezi kujenga barabara kwa hela yake inategemea na bajeti n mipango ya nchi,barabara mbovu kama hizo zipo nchi nzima,na pia asiporudi jerry ni nani atakukija badala yake? Ndio atakuja kujenga hiyo barabara?